Spurs chases duo on deadline day!

David James
Niko Kranjcar

Tottenham's interest in Portsmouth pair Niko Kranjcar and David James was at the centre of a hectic day of negotiations ahead of the transfer window closing later today.
Spurs boss Harry Redknapp is closing in on Kranjcar as cover for injured midfielder Luka Modric and he needs another goalkeeper, although signing a 39-year-old in James would represent a major shift in transfer policy as the club normally target players with re-sale potential.
Redknapp was in the market for a defensive midfielder earlier in the summer when he looked at Patrick Vieira, although he is also a fan of his Inter Milan team-mate Sulley Muntari after working with him at Pompey.
Pompey are looking to strengthen before the deadline and could move Tal Ben Haim from Manchester City, Slovakia defender Jan Durica from Lokomotiv Moscow or Algeria midfielder Hadj Aissa from Saudi Arabia side Al Ittifaq.
Sulaiman Al Fahim, who has agreed to buy the club, has previously suggested he would move for Amr Zaki from Zamalek, although the Egyptian side want the former Wigan striker to stay with them until at least January.
Finalised movesIn deals completed yesterday, Stoke signed Uruguay midfielder Diego Arismendi from Nacional in a deal which could rise to £4.84 million. Sunderland announced they completed the big-money signing of defender Michael Turner from Hull, on a four-year contract for an undisclosed fee.
Wolves confirmed the signing of Austria striker Stefan Maierhofer from Rapid Vienna and Ecuador midfielder Segundo Castillo on a season-long loan from Red Star Belgrade. West Ham signed defender Manuel da Costa from Fiorentina, and allowed forward Savio Nsereko to move in the opposite direction.
The Hammers are aware of interest from the Italian club for Matthew Upson but would only sell for a suitable offer or to a UEFA Champions League team. They are waiting for bids from Aston Villa or Everton for James Collins, with a transfer helping them sign another striker. Bordeaux forward Marouane Chamakh is still a possibility.
At Manchester City, Richard Dunne is expected to join Aston Villa and Benjani Mwaruwari has seen a move to Hull collapse. Barcelona coach Pep Guardiola has also ruled out the possibility of Robinho joining the Spanish giants.
Sunderland defender Danny Collins has held talks with Stoke but is also being chased by Wolves boss Mick McCarthy. Meanwhile, the Black Cats are still awaiting developments on Ipswich boss Roy Keane's swoop for midfield duo Grant Leadbitter and Carlos Edwards. The clubs have agreed fees, but the transfer is being held up by personal terms.
Hull striker Daniel Cousin could be on his way to Premier League rivals Burnley after claims an approach for a loan deal has been made. Andrea Dossena is likely to stay put at Liverpool, according to his agent Roberto La Florio. The Italian full-back has been linked with a move back to Serie A this summer, with Napoli and Juventus reportedly showing an interest.
story by www.fifa.com

ZITTO KABWE AJITOA KUGOMBEA UENYEKITI CHADEMA!!

Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Katibu mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe.
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema mbunge wa kigoma Kaskazini na katibu mkuu wa chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA)Zitto Kabwe amejitoa kugombea uenyekiti wa chama hicho ili kulinda mshikamano na umoja ndani ya Chadema na kutekeleza busara za wazee wa chama hicho.
Habari zinasema Zitto Kabwe ameamua kuacha kugombea kutokana na vikao mbalimbali vya wazee wa chama hicho vilivyokaa na kumsihi asigombee ili kutokigawa chama hicho katika kipindi hiki ambacho uchaguzi mkuu unakaribia ili kutokigawa chama na kuendeleza mshikamano katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2010.
Zittio Kabwe hivi karibuni alitangaza kugombea uenyekiti wa chama hicho katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni, baada ya kutangaza nia yake hiyo kulitokea malumbano mengi katika vyombo mbalimbali vya habari kitu ambacho huenda kimepelekea wazee wa chama hicho kukaa na kumshauri Mb. Zitto kutogombea nafasi hiyo ili kulinda maslahi ya chama, mshikamano na umoja ndani ya chama hicho.

MKAZI WA MWANANYAMALA ABAMBA MAFUTA!!


MKAZI wa Mwananyamala mjini Dar es Salaam, Hassan Juma (31) janaalijishindia Full Tank kutoka katika droo ya Bamba Mafuta.Droo hiyo ilichezwa jana katika ofisi za Selcom zilizopo mjini Dar esSalaam na Ofisa Uhusiano Msaidizi wa New Habari (2006), Aziza Seif.Huyo anakuwa mshindi wa tatu wa droo hiyo iliyoanza Agosti 15 mwaka huuambapo washindi wawili wa mwanzo walitoka mikoa ya Mbeya na Iringa.

Akizungumza mara baada ya droo hiyo, mshindi huyo alisema yeye ni mkazi wamwananyamala na anafanya kazi za usafi wa mazingira katika maeneo yaPosta, Dar es Salaam.“Nimefurahi kushinda…niambieni nitapataje hayo mafuta sasa,” alisema kwafuraha mara baada ya kupigiwa simu kufahamishwa kuwa ameshinda.

Akizungumza mara baada ya droo hiyo, Aziza alisema mshindi mwingine wan neatapatikana Ijumaa wiki hii , ili kushiriki unapaswa kuandika neno Mafutana kulituma kwenda namba 15331 . Wakati huohuo, mshindi wa pili wa BambaMafuta, Gabriel Mwasaga wa Mbeya, jana alikabidhiwa full Tank lake mkoanihumo na mwakilishi wa New Habari, Felix Mwakyembe.

Long Live Madiba, Long live Rolihlahla!

Dear Nelson Mandela.
A lot has been said over the past few weeks if not months (concerning your health and your days to live)Those unshameful, selfish people who all they care might be financial gain and wealth creation through your legendary nameDear Tata,God is the only one on earth who breathen us and shall He desire unbreathen usLong live Nelson, Long live MadibaYou are such an Icon Dalibhunga, you are such an Inspiration to millions KhuluAfrica shall never feel proud enough without people like you RolihlahlaLet them speak Nelson, let them colour their stations to spread those unshameful wishesMadiba, when I think of great people like you, those of peace, unselfishness, care, love, passion for others and hearts full of giving and forgiving, tata all you endure in us is dignity, respect, tolerance, humanity that full of integrityWhen I look to people like you Dalibhunga, I feel like dancing, those unforgetable African dances, those of victory, pride and cultural wealthy of our dear continent, You are such an inspiration MadibaIts only for the few like you that words can never be enough, emotions can never reveal the length and actions can never measure your ownYou are ICONIC Tata Madiba, You are a living LEGENDLong live Madiba, Long live RolihlahlaUmkotho WeSizwe,

DAWA NI KUBUNI MIKAKATI YA KUKUZA MCHEZO WA KIKAPU, SI KUCHEZA KWA KUJIFURAHISHA TU!!

Mchezaji wa Mpira wa Kikapu John Simkoko wa Chang'ombe Veteran, akipenya katikati ya walinzi Asha Kiluwa(kushoto) na jumanne kessa, wakati wa Mazoezi ya timu hiyo katika Uwanja wa Sigara TCC, Chang'ombe Dar es Salaam leo, ikiwa ni maandalizi ya kushiriki bonanza la timu za Veterani linalotazamiwa kufanyika mwishoni mwa mfungo wa Ramadhani.

BUTI HIZI ZA SHADRACK NSAJIGWA JE? NI KUISHIWA PUMZI AU, KAZI KWAKO MDAU!

Mshambuliaji wa Timu ya Soka ya Manyema, Bendict Ngassa(kulia) akiwa katika hali ngumu baada ya kudhibitiwa na walinzi wa Yanga Shadrac Nsajigwa(katikati) na Vicent Barnabas, wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jana,Yanga ilishinda 3-0.(Picha na Shaaban Mpalule)

Timu ya Soka ya Fiyness Veteran ya Temeke Chang’ombe yajiwinda kwa mpambano wao dhidi ya Tanga Veterani!!

Kiungo wa Timu ya Soka ya Fiyness Veterani ya Temeke Chang’ombe, Shaaban Ally(kushoto) akijiandaa kumtoka Deo John, wakati wa mazoezi ya timu hiyo katika Uwanja wa Sigara TCC Chang’ombe, Dar es Salaam leo, Timu hiyo inajiwinda kwa ajili ya mchezo wa Marudiano wa kirafiki na wenzao wa Tanga Veterani mchezo uliopangwa kuchezwa Mombasa, Kenya baada ya Mfungo wa Ramadhani

SIMBA YAVUNJA MWIKO MBEYA, YANGA YAFANYA KWELI KWA BIBI!!

Kikosi cha Simba katika picha ya pamoja.
Kikosi cha Yanga katika picha ya pamoja.

Timu ya Simba ya jijini Dar imeifunga kwa goli moja Timu ya prison ya Mbeya Goli lililofungwa na mchezaji David Naftari katika kipindi cha pili cha mchezo huo uliochezwa katika uwanja wa Sokoine Mkoani Mbeya kati ya timu hizo huu ni ushindi wa pili mfululizo kwa timu hiyo kutoka mtaa wa msimbazi katika mchezo huo pia mchezaji Danny Mrwanda ameumia na kukimbizwa Hospital,
Katika mchezo wa fungua dimba iliifunga majimaj magoli 2-0 mjini Songea wiki iliyopita hivyo kwa sasa simba imejikusanyia pointi 6 na watani wao wa jadi Timu ya yanga itakuwa na point 5 baada ya kutoka sare 1-1 katika mchezo wao wa kwanza kati yake na Africa Lione uliofanyika kwenye uwanja wa Bibi yaani Uhuru leo Yanga nao katika uwanja huohuo wa uhuru wameifunga Manyema kwa magoli 3-0 magoli hayo yakifungwa na mchezaji Jerry Tegete 2 na Mike Baraza goli 1 na huko songea pia jahazi la majimaji limezamwa kwa watoto wa kocha mreno Africa lione

Askari waliopigana vita kuu ya pili ya Dunia Kuhakikiwa!!

Dr. Hussein mwinyi waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa.

Na Anna Nkinda - Maelezo
Serikali imewataka askari (wa KAR) waliopigana vita kuu ya pili ya Dunia kuripoti katika ofisi za Mkuu wa mkoa au wilaya zao wakiwa na vitambulisho au vielelezo husika kwa ajili ya uthibitisho wa kutambuliwa .
Katika taarifa iliyotolewa hivi karibuni na Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa yamehorodhesha majina ya askari wote waliopigana vita hivyo vya mwaka 1939 hadi 1945. Taarifa hiyo inasema kuwa orodha ya majina ya askari hao inapatikana katika ofisi zote za mikoa na wilaya za Tanzania bara na Visiwani.
Mikoa hiyo ni Tanga, Arusha,Mjini Magharibi , Unguja na ofisi za wilaya ya Tunduru, Songea, Nchingwea, Bunda, Serengeti, Bahi, Geita, Temeke, Kisarawe, Ilala, Maswa, Babati, Morogoro, Mvomelo, Iringa, Kyela, Singida na Dodoma mjini. Wilaya nyingine ni Kishapu, Masasi, Shinyanga, Kilosa, Karangwe, Kondoa, Tabora, Nzega, Mpanda, Kongwa, Biharamulo, Igunga, Misenyi, Muleba, Handeni, Namtumbo, mkoa wa mjini Magharibi na unguja, Wilaya ya Magharibi na Kusini Unguja.

Who will be Europe's goal king?

Christiano ronaldo europiane the golden shoe 2008.

The season has barely kicked off in Europe, but the goals are already starting to fly in. Although the primary aim is to help their particular clubs secure three points, forwards from all over the world will soon be checking the standings for the European Golden Shoe. What FIFA.com wants to know is - who do you think will win it?
Last season's winner, Diego Forlan [who also scooped the award in 2004/05] has a real chance again this year, but what about Cristiano Ronaldo? The Portuguese forward has moved to pastures new and will be hoping to dazzle the Real Madrid faithful with his skills and goals. Two winners in the past five years [Luca Toni and Francesco Totti] have won the award while playing in Serie A - so could this be the year when Samuel Eto'o or Klass-Jan Huntelaar get their hands on the award.
What about Zlatan Ibrahimovic? Or Wayne Rooney? Or another England-based striker such as Didier Drogba, Fernando Torres or Carlos Tevez? Or could it be a surprise? The list of candidates are endless.
So, it's over to you: who will win the European Golden Shoe this season? Simply click 'Add your comment' to make your opinion known, remembering to keep your posts clean, respectful, on-topic and in English. by www.fifa.com

BODI YA UKAGUZI WA FILAMU YAZINDULIWA LEO!!

Waziri wa habari Utamaduni na Michezo George Mkuchika.

Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
29/8/2009, Dar es salaam
Serikali imepiga marufuku maonyesho yote ya filamu kwenye hadhara ya watu, majumba yasiyo rasmi,vibanda ,kumbi ndogondogo, hoteli na maeneo ya baa bila kufuata masharti ya jumba la sinema na kwa mujibu wa sheria na 4 ya mwaka 1974 inayotumika nchini.


Agizo hilo limetolewa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo George Mkuchika wakati wa Uzinduzi wa Bodi ya Ukaguzi wa Filamu nchini ambayo itakuwa na jukumu la kukagua na kusimamia maonyesho na shughuli za filamu nchini.


Amesema sehemu nyingi zinazotumiwa kuonyesha filamu hazina leseni halali za kuonyeshea filamu na kuongeza kuwa sio salama kwa mali na afya za watu.
“Nachukua fursa hii kutoa onyo kwa mtu yeyote atakayeonyesha filamu kwenye hadhara ya watu katika majumba yasiyo rasmi ,vibanda,kumbi ndogondogo,hotelini, baa na katika vyombo vya usafiri waache mara moja” amesisitiza.
Amefafanua kuwa sehemu nyingi zinazotumika kuonyeshea filamu sasa hazikidhi matakwa ya ujenzi wa kumbi za kuonyeshea filamu na ni kinyume cha sheria kwani nyingi zimekuwa chanzo cha maficho ya wahalifu, majambazi, biashara ya dawa za kulevya na kuchochea vitendo vya ngono kwa vijana.
Amesema athari nyingi tayari zimeshajitokeza katika jamii yetu na kuongeza kuwa filamu nyingi zimechangia kubomoa na kudunisha Utamaduni wa taifa letu na hata kuchangia kwa kiasi kikubwa kubomoa misingi ya amani , Upendo , Uadilifu,heshima, uaminifu na utu ambao ni utambulisho wa mtanzania jinsi ulivyokuwa umejijenga na kuenea katika jamii yetu.
Waziri Mkuchika amewataka wanaojishughulisha na shughuli za kuonyesha filamu kwa kuzingatia sheria na kufuata kanuni za nchi licha ya kuwa ya fani ya filamu kukuza ni biashara na inakuza uchumi na pia kuleta maendeleo na kuwataka kuepuka kuonyesha filamu zinachochea vitendo viovu na mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii kutokana na filamu nyingi kutokaguliwa na kupangwa katika madaraja kulingana na matakwa ya watanzania.
Awali akizungumza kuhusu majukumu ya Bodi hiyo amesema kuwa Bodi itakuwa na jukumu la kuweka misingi ya kuimarisha utaratibu wa usimamizi wa utengenezaji wa filamu na pia kutoa vibali vya kutengeneza filamu hapa nchini.
Mbali na jukumu hilo Bodi ya Ukaguzi wa Filamu itakuwa na jukumu la kuratibu, kusimamia na kushauri namna ya kukuza Tasnia ya Filamu kwa kuzingatia sera ,sheria na kanuni zikiwemo taratibu na miongozo mbalimbali ya nchi hasa sera ya Utamaduni na Sheria ya Filamu na Michezo ya kuigiza.
Naye Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bi. Rose Sayore ameihakikishia serikali kuwa Bodi yake itafanya kazi kwa mujibu wa sheria na kuhakikisha kuwa kanuni, sheria , maadili na taratibu za uonyeshaji na utengenezaji wa filamu zinazingatiwa kwa maslahi ya watanzania na vizazi vijavyo.

ARE YOU READY FOR THE REVOLUTION?(BIG BROTHER IS HERE)


September 2009
With the series shrouded in mystery, speculation has grown as eager fans across the continent try to uncover the identity of the show’s housemates, and find out anything they can about the new season of the super series BIG BROTHER AFRICA.
Now with the series just days away from launch, M-Net has begun to release information on its newest and boldest reality TV innovation yet and the good news is that THE REVOLUTION is definitely on.
In line with the fresh new take on Big Brother, there’s a new face at the helm of the series. M-Net has now officially confirmed the name of the series host and joining the Big Brother team is talented, well-spoken and charming Nigerian television star IK Osakioduwa who’s already well-known to audiences across the continent.
An Economics graduate from the University of Lagos who began his broadcast career as ‘Wild Child’ on Nigerian radio station Rhythm FM 93.7, the dynamic IK soon moved into television. A presenter on M-Net’s flagship Afro-chic lifestyle program Studio 53, he has also helmed two other M-Net productions - the Nigerian game show Temptation Nigeria and the stand-out stand-up series Comedy Club: Live in Lagos.
Now he’s taking on his biggest challenge yet and he’s excited about the role, revealing that he’s a huge Big Brother fan.
“I'm not sure what it is about the show but it's almost addictive. I hate to confess it but, I remember days when I stayed up watching people in the house sleep.”
He goes on to encourage audiences to share his passion for the series saying,
“I've been speaking with some people involved with the production and I think it's safe to say that a lot of thought has been put into improving everything that has been done before. We see a reflection of that in the increased prize money. I also think there will probably even be more drama in this edition too because the stakes are higher. Not to mention that there are more countries.”
And, given that outside of Big Brother IK will be the housemate’s only link to the outside world, he has this advice for them.
“There will be people watching critically from countries all over Africa. I think being fake would work against you. Keep it real and hope for the best. Also as much as we are all watching you, try to have some fun with it!”
However, he won’t be the only star on stage come September 6…
The channel today also announced that the September 6 launch of BIG BROTHER AFRICA will also feature up and coming African sensation K’Naan.
The Somali born, Canadian based musician has won global attention for fusing hip hop, rap and reggae with poetic insight and a keen sense of timing. It’s no wonder then that his breakout album The Dusty Foot Philosopher has become an international hit.
Following on from his debut success, his second album Troubadour, released earlier this year, has seen him build on a reputation for talent and powerful lyrics. Now African fans across the continent will see the star in action, right on the Big Brother stage, singing his hit Wavin’ Flag.
Meanwhile, with fans’ eyes turning toward the house, the series and the housemates, there’s another ‘eye’ that’s currently stealing the spotlight…the newly designed Big Brother Revolution logo!
One of the images most associated with the show, every season the Big Brother eye gets a make-over and this year, it’s bolder than ever. Etched into a stone wall, with a graffiti themed edge and a blueprint of the Big Brother house imprinted above the eye, it’s unmistakably ‘revolutionary’ and is destined to become one of the most popular representations of the new series.
To see the logo, to get more info on the series, to post your comments OR to meet other Big Brother fans, log on to www.mnetSeptember 6 has begun!
Welcome to the Revolution.
africa.com/bigbrother
.
For now though, the countdown to

MWANABLOGU ISSA MICHUZI ASHEREHEKEA KUZALIWA KWAKE!!

Mzee wa Vekesheni na Jikeki lake la Besdei jana.
Mzee wa Vekesheni Issa Michuzi wa pili kutoka kulia akifurahia siku yake ya kuzaliwa pamoja na mbunifu wa mavazi Khadija Mwanamboka wa kwanza kulia na wageni wengine wakati wa futari iliyoandaliwa jana na mwanablogu huyo kwenye mgahawa wa Chief Pride ulioko jijini Dar es salaam.


Juma Pinto na Benny Kisaka walikuwa ni miongoni mwa wageni walioalikwa katika besdei ya mzee wa Vekesheni Issa Michuzi.


Wageni jmablimbali walikuwepo katika bsdei hiyo ya Mdau Michuzi.


Wadau mbalimbali wakipata futari iliyoandaliwa na mwanavekesheni Issa Michuzi kwenye mgahawa wa Chief Pride jijini jana jioni.

MPOAFRIKA STUDIO YA KISASA ILIYOPANIA KUUKOMBOA MUZIKI WA BONGOFLEVA!!

Hawa ni viongozi wa Studio ya MpoAfrika iliyopo Tandika Devis Corner Wilayani Temeke studio hii imeanzishwa hivi karibuni hata hivyo tayari imeshafanya kazi nyingi za wasanii wakubwa wa muziki wa kizazi kipya bongofleva hapa nchini na wa bendi pia chini ya Producer wake Benny Mwamba, Martin Peter aliyeko kulia katika picha hii ndiyo mkurugenzi mwendeshaji, meneja wake Kerwani Amos aliyeko kushoto, hapo kati ni msanii ambaye tayari ameshafanya kazi yake katika studio hiyo Richie One, wanamuziki ambao tayari wameshafanya kazi zao katika studio hiyo ni Mr Misosi, Fid Q, Suma Lee, Insp. Haroun, Tunda Man, mwanamuziki Saleh Kupaza wa Twanga Pepeta, Chitokololo wa FM Academia na Dogo Lama na tayari nyimba zao zinagongwa katika vituo mbalimbali vya redio nchini.
Wasanii wengine ambao wanatarajia kufanya kazi yao studioni hapo ni Richie One Chiku Keto Mzimu na Juma Nature watakaporekodi wimbo wao wa pamoja unaoitwa Mukide ambao unatarajiwa kukamilika baada ya wiki mbili na kusambazwa katika vituo mbalimbali vya Redio.
Producer Benny Mwamba wa MpoAfrika Studio iliyopo maeneo ya Tandika Devis Corner akiwa Studio katika kazi zake za kila siku hapa yuko kazini akirekodi nyimbo ya msanii mwanadada Chiku Keto ambaye nimemkuta jioni hii akikamua kisawasawa studioni hapo ili kuhakikisha nyimbo yake itakapotoka mashabiki wakikubali kwa ubora wake ukitaka kufanya kzi yako katika studio hiyo unaweza kuwasiliana nao kwa namba hizi.
(0713-227979/0754-222144)

FFU wa Ngoma Africa wanapofunga Mtaa! hamburg,Ujerumani!!

Mashabiki lukuki wakishuhudia moto wa Ngoma Afrika.

Ras makunja na kikosi chake The Ngoma Africa band,juzi 21-08-2009
waliufunga mtaa mrefu katikati ya jiji kubwa la Hamburg,Ujerumani.katika maonyesho ya Alafia -Afrika Festival,na kusababisha ulinzi mkali kuwepo katika onyesho hilo , mbele ya jukwaa kulijaa mashabiki ambao walikuwa wakidai kuwa ngoma africa ni bendi yao ya damu.
Nyuma ya jukwaa kulikuwa kumejaa Polisi ambao nao walisema kuwa baada ya kumalizika onysho hilo lazima Makunja na kikosi chake wasindikizwe na Ulinzi na hakuna mshabiki wa kuwasogelea! hiyo ilikuwa ikimaanisha FFU wa Ngoma Africa chini ya ulinzi wa washabiki na polisi walikuwa salama kabisa.
Poromota wa onyesho hilo aliwatangazia washabiki kabla ya muziki kuanza kuwa "Washabiki wanaombwa kucheza muziki mbele ya jukwaa" tafadhali nyuma ya jukwaa ni sehemu ya ulinzi tuu! jukwaa lipo kati! upande wa mbele washabiki na upande wa nyuma polisi,Ras Makunja na Ngoma Africa yake wamewekwa mtu kati!!

SASATEL YALIMWAGIA VIFAA VYA MAWASILIANO JESHI LA POLISI KANDA MAALUM!!

Murugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi Sasatel Christian Haeger akikabidhi vifaa mbalimbali vya mawasiliano kwa Kamanda wa kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Suleiman Kova katika makabidhiano yaliyofanyika polisi kati jijini Dar es salaam leo.

Kampuni mpya ya mawasiliano ya Dovetel inayofanya biashara zake kwa jina la “Sasatel “ imetoa msaada wa simu kwa jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam leo katika kusaidia jeshi hilo kupambana na uhalifu jijini.
Sasatel imetoa simu zipatazo 60 Kwa ajili ya jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam. Madhumuni ya kutolewa kwa simu hizo ni kuunga mkono jitahada za jeshi hilo katika mapambano dhidi ya uhalifu.
Simu hizo zitatumika katika kufanya mawasiliano kati ya askari watakaokuwa doria na wananchi ambao ni raia wema watakaokuwa wanatoa taarifa kuhusu vitendo mbalimbali vya uhalifu au pale raia hao watakapokuwa na wasiwasi na mtu yoyote atakayetiliwa mashaka kwa mwenendo wake.
Vilevile askari hao wa doria wataweza kuwasiliana kwa haraka na viongozi wao watakaokuwa wanawapatia maagizo ya mara kwa mara.
Askari watakaoanza kunufaika na msaada huo ni wale askari wa doria za pikipiki, kikosi cha 999 na kadhalika.
Licha ya msaada huo Sasatel imethibitisha kwamba Gharama za muda wa maongezi zitakuwa za chini sana katika namna ambayo askari hao wataweza kuongea kwa muda mrefu kulingana na mazingira ya kazi zao.
Katika kuleta ufanisi kuhusu mawasiliano askari wa doria na wananchi kila eneo katika kanda maalum watapewa namba hizo na kuorodheshwa katika vituo vya Polisi vyote vya kanda maalaum ya Dar es Salaam ili kurahisisha utendajiwa wa askari wa Doria.
Kutokana na msaada huo kamanda wa polisi Dar e salaam Kanda Maalum SACP Suleiman Kova, ameishukuru kampuni ya Sasatel kwa kutambua kwa haraka na umuhimu na kuthamini kazi za jeshi la polisi kwa hatua ambayo kampuni hiyo imeonyesha, Licha ya shughuli za kibiashara Kampuni hiyo imeonyesha kujali maslahi ya wananchi ikiwa na pamoja na usalama wao

FM ACADEMIA KUKUAMUA RUFITA EXECUTIVE LEO!!

Wana wa FM Academia wakikamua

Watotowa mujini FM Academia wanatarajiwa kufanya shoo ya kukata na shoka kwenye ukumbi wa Rufita Executive ulioko Segerea jiji Dar es Salaam hapo Agosti 28 wakiongozwa na kiongozi wa Nyoshi El Sadaat na wanamuziki wengine kama Yelo Masai, Patchou Mwamba, Josse Mara na wengine wengi watakuletea mitindo yao kabambe kama vile Zombo na Matembele na mingine mingi.
Meneja Wa Rifita Executive Obet Msigwa amesema maandalizi yote yamekamilika kwa onyesho hilo na mashabiki wote watarajie burudani kali kutoka kwa wana Fm Academia, ameongeza kwamba kiingilio katika onyesho hilo kitakuwa ni shilingi 5.000 tu na watu wote wanakaribishwa katika hilo,
Bw. Obet Msigwa ameongeza kuwa ukumbi ni Chakula na huduma nyingine zote hi kwa upande huo tuko sawasawa kabisa tuna Jiko la kisasa na wapishi wenye uzoefu.

The Government of Tanzania will soon start construction of a monument and a podium!!

Mr Isdori Shirima the Arusha Regional Commissioner (Right), The Permanent Secretary of the Ministry of Natural Resources and Tourism Dr Ladislaus Komba (second right) and some officials from the Ministry of Tourism listening to the site explanation given by an officer (not in the picture).
The Arusha Regional Commissioner Mr Isdori Shirima opens a curtain to symbolize Zinjanthropus Pedestal Inauguration at Olduvai Gorge in Ngorongoro Conservation Area Arusha Tanzania.

The Government of Tanzania will soon start construction of a monument and a podium on the site where one of the first species of early hominid in the world Zinjathropus boiesei Skull, was discovered by Dr Mary Leakey 0n 17th July 1959 at Olduvai Gorge in Ngorongoro Arusha so that to preserve this important archaeological site in the world.
This was disclosed during the recent 50th Anniversary of Zinj discovery and the establishment of Serengeti National Park and Ngorongoro Conservation Area held in Arusha Tanzania from 13rd to 17th August that attracted more than 200 delegates and scientists from within and outside the country. The architectural work and designing of the monument and podium has already been developed and submitted to the Ministry of Natural Resources and Tourism by the Ardhi University.
In the five days of the Golden Anniversary a numbers of papers on the hominin fossil, Palaeoenvironment at Olduvai, Stone Ages, Rock Arts, and Cultural Resource and heritage Management were presented and discussed by delegates during the conference held in the Arusha International Conference Center followed by the zinjanthropus Pedestal inauguration at Olduvai Gorge on 17th August which was the anniversary climax day.
The discovery of Zinjanthropus boisei at Olduvai Gorge together with the oldest existing footprints at Laitole (3.6 million of year of age),further verify that the human begun in Africa and specifically Ngorongoro Conservation Area in Tanzania, and not in Asia as previously thought. In keeping with the significance of this information, Olduvai Gorge is now known as The Cradle of Mankind while Laetoli holds the only undisputable evidence for Human bipedalism
“Although many other important discoveries have been made at Olduvai, laetoli and other East African hominid sites, the Olduvai Zinj will always remain a national and international icon of Tanzania ‘s central place in our understanding for the first time the basic outline of the course of human evolution over the last two million years”. Says Mr Peter Mwenguo, the Managing Director of Tanzania Tourist Board
For fifty years since the discovery of Zinj, Olduvai Gorge has played a major scientific role as a center for research in palaeoenvironment, ecology, paleontology, archaeology, geology and many other disciplines conducted by both national and foreign research teams. The site has continued to attract more tourists and yield new scientific findings which have added more value to records of human evolution. The significance of Olduvai and Laetoli has led to the updating of information and elevated the Ngorongoro to be nominated as a World Heritage site Mixed Site in 2008 to incorporate both natural and cultural outstanding universal value.

MKUU WA MKOA WA (DAR) WILIAM LUKUVI ATINGA MJENGONI!!

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Wiliam Lukuvi katikati akizungumza na Mkurugenzi wa Utafiti Clouds Fm Ruge Mutahaba kulia na Mmoja wa watangazaji wa redio hiyo Sebastian Maganga kushoto,wakati alipotembelea Mjengoni hapo kujionea shughuli mbalimbali zinzofanya na kituo hicho cha Redia maarufu nchini.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Wiliam Lukuvi akisalimiana na mtangazaji wa radio Choice Fm Baby Kabaye, Choice Fm ni moja ya vituo vinavyomililikiwa na Clouds Media Group, Lukuvi ametembelea leo kituoni hapo Mikocheni na kuijonea mambo mbalimbali yanayofanywa na kituo hicho (picha kwa hisani ya mdau Michuzi Junior)




The only way for Bafana Bafana to win during the 2010 world cup!

Haya utani wa soka umeanza kabla ya kupigwa kwa kombe la dunia nchini Afrika Kusini mwaka 2010 kama unavyoona mdau, kuna mdau katutumia picha hii na kuomba tuweke kwenye ukurasa huu na akatutumia maneno hayo kama yanavyosomeka kwenye kichwa cha habari hapo juu, haya iangalieni hiyo na mtutumie maoni yenu! manake yeye ametoa mawazo yake juu ya ushindi wa timu hiyo ya Taifa ya Afrika Kusini (Bafanabafana) Je? wadau mnasemaje kuhusu hili!

SERIKALI YAKANUSHA MADAI YA TBC KUUZWA!!

Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo George Mkuchika akizungumza wwakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.

Na Aron Msigwa- MAELEZO.
Dar es salaam.
Serikali imekanusha madai ya shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kuuzwa kinyemela kama ilivyoonyeshwa katika taarifa iliyotolewa na chombo kimoja cha habari hapa nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar esa Salaam na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo George Mkuchika wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusu hatua iliyochukuliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kuunda kampuni mpya iitwayo Star Media (Tanzania) Limited kwa ubia na mwekezaji.
Amesema Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kama shirika la umma halijauzwa na kuwataka wananchi kutoamini taarifa zozote zinazotolewa kuhusu kuuzwa kwa namna yoyote kwa shirika hilo.
“ Nawathibitishieni leo kuwa shirika la Utangazaji (TBC) halijauzwa ,bado ni la wananchi na kamwe halitauzwa” amesisitiza.
Ameongeza kuwa TBC ni mali ya umma na itaendelea kuwa hivyo kama shirika la umma linalomilikiwa na serikali kwa asilimia 100 na kuongeza kuwa Star Media Tanzania Limited ni Kampuni tanzu ya TBC.
Amefafanua kuwa TBC imeunda kampuni hiyo mpya kwa ubia na mwekezaji aliyeteuliwa kihalali ili kutekeleza mabadiliko ya Digitali na kuendesha mitambo ya kurushia matangazo yake nchi nzima kazi ambayo itakamilika mwaka 2012 kwa gharama ambazo TBC isingeweza kuzimudu yenyewe kutokana na jukumu hilo kuhitaji utaalam mkubwa wa kiufundi ili kukamilisha ufanisi.

AURORA KUSAIDIA MISS UTALII TANZANIA 2009-TEMEKE

Erica Allan(23)
Happy Felix(22)

Kampuni ya Ulinzi ya Aurora ya jijini Dar es Salaam, imejitokeza kusaidia shindano la miss Utalii Tanzania 2009-Temeke litakalofanyika tarehe 25 Sep katika Ukumbi wa City Garden (Zamani Gerezani) ,Kariakoo Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Aurora Ally Aurora alisema jana kuwa wanatazamia kukutana na kamati ya miss Utalii Tanzania 2009-Temeke, siku ya jumatatu ambapo watakubaliana Sehemu Muhimu za Kusaidia ikiwemo suala zima la Usafiri wa kuwawezesha washiriki kwenda katika Vivutio vya Utalii vya Taifa kwa lengo la kujifunza Zaidi."nitawapa usafiri kwani nafikiri hilo ndilo litakuwa suala la kwanza kwao ili waweze kutembelea Hifadhi za Utalii za Taifa ambako watajifunza masuala mengi yanayoihusu nchi yetu,pengine kama kutakuwa na jambo limgine la muhimu pia tutazungumza nao lakini kikubwa nahaidi kuwasaidia ili kufanikisha shindano hili"alisema auroraMashindano ya Miss Utalii Temeke 2009, ni mashindano yanayolenga kumtafuta Balozi wa kutangaza, kuibua na kuhamasisha vivutio vya Utalii,Utalii, Utamaduni, Utalii wa Ndani, na Mianya ya Uwekezaji katika Wilaya ya Temeke 2009.Shindano hili pia linalenga kuwapata washindi watakaowakilisha wilaya ya Temeke katika fainal za Miss Utalii Tanzania 2009-Kanda ya Mashariki ambayo yatajumuisha washindi kutoka wilaya za Kinondoni,Temeke, Ilala, Mikoa ya Morogoro, Pwani, Tanga, Lindi, na Mtwara..
Shindano la Miss Utalii Tanzania 2009-Temeke , Limeandaliwa na Linda Masanche (Miss Utalii Tanzania 2005-Vipaji, ambalolimepangwa kufanyika siku ya ijumaa Sept 25-2009 katika Ukumbi wa City Garden Club Gerezani Kariakoo(zamani Gerazani Clabu). jumla ya Warembo 15 wanatarajia kupanda jukwaani katika Ukumbi huo unaomilikiwa na Paradise Group of Company ya jijini ambao ni wamiliki pia wa Paradise Hotel Bagamoyo, Tansoma Hotel ya Dar es Salaam, City Garden, Dar es Salaam Conference Centre na East Afrika Hote y Arusha.shindano hilo linalotajwa kuwa la pekee na historia katika Wilaya ya Temeke 2009 wakiwemo Klabu ya kisasa ya Kitalii ya City Garden Club Gerazan, Aucland Tours &Travel Kampuni inayomilikiwa na mfanya biashara maarufu nchini Malijani Msofe(Papaa Msofe), Monalisa Feneture & Tiles wauzaji wa samani vya kisasa, Hatman Production,Varry Spring, Mbuge wa Wilaya ya Temeke Abbas Mtenvu,na Mbunge wa Wilaya ya Kinondoni Idd Azan

MASHINDANO YA MBIO ZA BAISKELI KUFANYIKA JIJINI MWANZA!!



Meneja Matukio na Promosheni wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akizungumza na waandishi wa habari leo kwenye makao makuu ya kampuni hiyo PPF Tower kuhusu mashindano ya kuendesha Baiskeli yatakayofanyika Oktoba 25 mkoani Mwanza na kushirikisha makundi matatu ya waendesha Baiskeli, kundi la kwanza wanaume watakaokimbia km 150, kundi la pili wanawake watakaokimbia km80 na kundi la mwisho la walemavu litakalokimbia na baiskeli km10

Rukia amesema washiriki wote watajigharimia usafiri kutoka maeneo mbalimbali wanayotoka na kufika katika eneo la kituo cha mashindano jijini Mwanza pia watajigharimia chakula na malazi wakati wote watakapokuwa mkoani mwanza kwa mashindano.

Fomu za kushiriki katika mashindano hayo zinapatikana katika maduka yote ya Vodashop yaliyopo Nyamagana, Nyerere Road, PPF Tower Mwanza, Shinyanga, Tabora, Dodoma na Zanzibar fomu pia zinapatikana katika ofisi za CHABADA na vituo vingine vitakavyotangazwa hapo baadae katika picha kulia ni Nizar Manji wa CHABADA na kushoto ni Arnold Kileo Meneja Bidhaa na Utafiti Vodacom Tanzania.

Maadhimisho ya JWTZ kutimiza miaka 45 yafana!!.

Mkuu wa Majeshi Generali Davis Mwamunyange akitoa maelezo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya mambo ya nje Ulinzi na Usalama Wilison Masilingi mara baada ya ufunguzi wa maadhimisho ya JWTZ kutimiza miaka 45. Mh. Masilingi alikuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Maadhimisho hayo yanayoendelea katika kikosi cha 603 cha jeshi eneo la Airwing ,Ukonga jijini Dar es salaam.Wa kwanza Kulia ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein mwinyi ambaye aliambatana na Naibu wake Dkt. Emannuel Nchimbi (wa kwanza kushoto).
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya mambo ya nje, Ulinzi na Usalama Mh. Wilson Masilingi akipata ufafanuzi kutoka kwa Luten Kanali Anselum Bahati kuhusu bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na JWTZ kikosi cha Nyumbu wakati wa maonyesho ya miaka 45 ya JWTZ.Kushoto ni Mkuu wa Majeshi Generali Davis Mwamunyange.

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye maonyesho ya JWTZ kutimiza miaka 45 wakipata huduma za tiba na ushauri leo katika mabanda ya Maonyesho katika viwanja vya kikosi cha 603 cha Jeshi la wananchi Air wing,Ukonga jijini Dar es salaam.


Matukio mbalimbali katika picha kuhusu wiki ya maadhimisho ya miaka 45 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yanayoendelea katika viwanja vya jeshi kikosi cha 603, Airwing,Ukonga jijini Dar es salaam.
Picha na Aron Msigwa- MAELEZO.









Esther Tindosi Kusekwa kuzindua Faraja kwa yatima na wajane Mjini Shinyanga!!


Muimbaji wa nyimbo za injili wa jijini Mwanza,Esther Tindosi Kusekwa anatarajia kuzindua albamu yake mpya itakayoitwa Faraja kwa yatima na wajane, mnamo Agosti 29 katika uwanja wa Kambarage,mjini Shinyanga naAgosti 30 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwaza.

Uzinduzi huo ambao unaratibiwa na kampuni ya Flora TalentPromotions,chini ya Mkurugenzi wake Bi.Flora Lauwo ,utakuwa ni wapekee na wenye kuwasisimua wapenzi wa muziki huo wa kiroho ambao kwasasa umekuwa ukikubalika na kupendwa kwa kiasi kikubwa.Bi.

Flora amesema kuwa albamu itakayoziduliwa itakuwa na jummla yanyimbo nane, ambazo kwa kuzitaja chache ni Faraja kwa yatima na wajaneuliobeba albamu nzima,nagalolela ambao umeimbwa kwa lugha yakisukuma,Kemea,Ole wao,Akina mama,Dhambi,Nimechoka na nyinginezo."Watakaousindikiza uzinduzi huo atakuwepo muimbaji mahiri wa muziki wakiroho kama vile Joseph Nyuki,Mchungaji Baru,Jerusalem Band,MathaRamadhani,Kwaya ya Vijana wa Bwiru, Kwaya ya AIC Makongoro bilakumsahau Bi Josephin anayetamba na wimbo wake wa mateso ya mwenyehaki, na band nzima ya Tabata ambao wanatamba na wimbo wao wa natembeakidogo kidogo, nikinyatanyata,Na wengine weeeeengi."amesema Flora.Flora amesema kuwa katika suala la maandalizi kila kitu kinakwendasawa mpaka sasa,na kwamba kiingilio kimepangwa kuwa shilingi 1000/= kwa watoto na watu wazima kuwa ni shilingi 2000/=.

MISS UTALII TANZANIA WAULA MISS UNITED NATIONS!!

Bw. Gideon Chipungahelo akiongea na warembo walioshiriki Miss Utalii Tanzania mwaka jana.

Kwa mara nyingine tena,katika kile kinachoweza kuelezwa kuwa ni kukubalika zaidi kimataifa kwa waandaaji na mashindano ya Miss Utalii Tanzania,
Rais wa Miss Utalii Tanzania Gideon Erasto Chipungahelo ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Taifa na mwakililishi pekee hapa Tanzania wa mashindano ya Dunia ya Miss Umoja wa Mataifa.
Uteuzi huo umefanywa na Rais wa Dunia wa Mashindano hayo Kathryn Pettit,kupitia kwa mkurugenzi wa Dunia wa mashindanio hayo Leon Williams.Kwa uteuzi huo washindi wa Taifa wa mashindano ya Miss Utalii Tanzania watawakilisha Tanzania katika fainali za dunia za mashindano hayo kuanzia mwaka huu.
Huu ni uteuzi wa Tatu wa kimataifa kwa Ndugu Chipungahelo kushika nyadhifa za kimataifa za mashindano ya urembo. Nyadhifa nyingine alizo nazo ni pamoja na Rais wa Dunia wa Mashindano ya Miss Heritage World,Mkurugenzi wa bara la Afrika wa Miss Tourism World organization na mkurugenzi wa taifa wa International Miss Tourism world Pageants.
Hii inamanisha kuwa sasa washindi wa Taifa wa Miss Utalii Tanzania ,watakuwa wanawakilisha Tanzania katika mashindano matatu tofauti ya Dunia ambayo yanalenga katika kutangaza utalii,pia itakuwa ni fulsa ya pekee kwa warembo wa Miss Utalii Tanzania kupeperusha bendera ya Tanzania na kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania kimataifa.
Bodi ya wakurugenzi inajivunia kupata fulsa hizi za kujivunia na za pekee ambazo zitatoa mchango mkubwa kwa miss utalii Tanzania kuunga mkono kwa vitendo juhudi za serikali ya awamu ya nne ,Mamlaka ya Hifadhi za taifa na nchi kwa ujumla ya kuinua pato la taifa litokanalo na utalii kwa kutangaza Tanzania na vivutio vyake vya utalii hususani Hifadhi za taifa hasa katika kipindi hiki cha mtikisiko wa uchumi wa Dunia.
Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Dunia ya Miss Umoja wa Mataifa(Miss United Nations)yenye makao yake makuu nchini marekani,Miss utalii dunia (Miss Tourism world) yenye makaoyake makuu nchini Uingereza,Miss International Tourism Pageant yenyemakao yake makuu marekani na Miss urithi wa Dunia (Miss heritage world) yenye makao yake nchini Uturuki na Tanzania,watapatikana katika fainali za Taifa za Miss utalii Tanzania ,ambazo waandaaji wake pekee ni Miss Tourism Tanzania Beauty Pageant Limited chini ya bwana Gideon Chipungahelo,ambazo zitafanyika mwezi Novemba baada ya kukamilika fainali za mikoa na kanda zinazoendelea hivi sasa chini ya mawakala wetu nchi nzima.

VITUO VYA MISAADA YA KISHERIA NCHINI VYATAKIWA KUTOA HUDUMA MAENEO YA VIJIJINI.

Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora George Mlawa akiongea na washiriki wa kongamano la Kitaifa la siku mbili la wasaidizi wa Kisheria linaloendelea jijini Dar es salaam.

Na. Aron Msigwa- MAELEZO.
Dar es salaam.
Changamoto imetolewa kwa vituo vya misaada ya kisheria nchini kuhakikisha kuwa vinawafikia na kuwasaidia wananchi wengi wanaoishi maeneo ya vijijini ili wajue haki zao.
Wito huo umetolewa leo na Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora George Mlawa wakati wa kongamano la Kitaifa la wasaidizi wa Kisheria linaloendelea jijini Dar es salaam.

Amesema vituo vingi vya misaada ya kisheria viko maaeneo ya mijini jambo linalosababisha wananchi wengi wanaoishi katika maeneo ya mijini kupata msaada wa kisheria kwa haraka zaidi tofauti na wale wanaoishi maeneo ya vijijini.
“Vituo vingi vya misaada ya kisheria kwa sasa viko mijini wakati katika maeneo ya vijinini ambako msaada wa kisheria na uelewa wa wananchi ni kuhusu sheria ni mdogo na wakati mwingine vituo vya sheria viko mbali sana” amesema.

Parker: Cole is England class


West Ham midfielder Scott Parker has backed Carlton Cole to establish himself in the England squad despite his blunder in front of Fabio Capello on Sunday.
Cole's backpass led directly to Jermain Defoe's equaliser at Upton Park as Tottenham went on to claim a 2-1 win - but Cole had opened the scoring with a spectacular volley and stretched the visitors' defence as a lone striker. With Hammers boss Gianfranco Zola short on numbers in attack, Cole's next opportunity is likely to be tonight against Millwall in the Carling Cup.
Parker said: "Carlton has got all the attributes to be a big player for us and at international level. Everyone could see against Spurs he's got massive strength. He can bring people into the game as well and he's got a massive season ahead of him. If he does well this season I think he'll definitely be pushing to get into the England side.
Carlton has got all the attributes to be a big player for us and at international level,
Scott Parker on West Ham team-mate Carlton Cole.
"He scored a great goal and he's made a mistake but that could have happened to any of us out there, it's part and parcel of football. You put yourself on offer like Coley does and you are going to make mistakes."
Technical director Gianluca Nani and chief executive Scott Duxbury are looking to add at least one more forward before the transfer window closes. Bordeaux's Marouane Chamakh has "rejected" a move but the Hammers are understood still to be working on the deal, while Lazio's Goran Pandev and Livorno's Alessandro Diamanti have been linked in Italy with playing for Zola.
"We would love to bring some more players in," Parker added. "Our squad is very, very short and we are short on numbers. We all understand the situation we are in and it's what we have to work with. We have to dig in - and we'll do that and try and get some results. If we play and perform like we did against Spurs we'll be okay.
"There's no hiding the fact that Tottenham are going to be up there this year, they are a very good side and have a very good squad. If we can perform like we did against them there's not going to be many teams who can live with us."By http://www.fifa.com/

Bilal Comprehensive wafanya mashindano ya Quran!!

Msenaji wa Kituo cha Ubarozi wa Iran, Mostafa Kanjibar, akifafanua jambo kwa kutumia (masaafu)wakati wa mashindano ya Kusoma Kurani ya Vijana kutoka Vyuo Mbalimbali vya Kiislamu,yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwembe Yanga, Dar es Salaam jana.ikiwa ni kuukaribishamwezi mtukufu wa Ramadhani, masindano hayo yaliandaliwa na Shule ya Kiislamu ya Bilal Comprehensive ya jijini Dar ea salaam,
Mkuu wa Chuo cha Bilali Comprehensive School Siddika Karim akifafaua jambo wakati wa mashindano ya Quran -Tandika


M-NET’S NAIJA SINGS - TOP 10 SHINE!

Goodness
Covenant.

On Saturday evening August 22, DStv audiences watching M-Net’s hot music series NAIJA SINGS were entertained as the series hit the TOP 10 stage in spectacular fashion. And in true reality TV style, the show opened with a surprise as contestant Goodness Nnorom bowed out of the show, citing personal reasons for being unable to continue in the series. It was bad news for Goodness fans, but good news for the remaining competitors because it meant that this week only one contestant would be eliminated instead of the usual two people. After Goodness’ departure was announced, it was time to reveal the name of next competitor to be eliminated from NAIJA SINGS. This time, it was Covenant Godwin who received the fewest viewer votes. The clearly shocked contestant told series host Olisa Adibua that he felt “blank”. Meanwhile, as Goodness and Covenant headed out of the series, the remaining contestants got set to for the all important TOP 10 concert! With the musical theme for Saturday’s show honouring the late King Of Pop Michael Jackson, the scene was set for 10 electrifying performances. Adding to the excitement was the NAIJA SINGS band, live on stage under the leadership of Musical Director Kehinde Dacosta Lawrence. First up was Victor from Calabar, who said it was important to choose the right song, something you feel comfortable with and will impress the audience. Kehinde said Victor just needed to be pointed in the right direction to live out his potential. Victor chose the catchy Starting Something and the fans in the audience thought it was “exciting and energetic”. Tarila was up next and said it was important to choose a song that would bring out the quality of his voice. Kehinde said Tarila has a beautiful voice and that he improves every week. Tarila sang the emotional You’re Not Alone and one particularly enhusiastic fan thought Tarila sounded even better than MJ!

Julio Baptista staying put!!

AC Roma striker julio Baptista

Julio Baptista's agent insists the Roma striker will not be returning to the Premier League this season.
The former Arsenal forward has been linked with West Ham United and Manchester City but agent Herminio Menendez denied there was any truth in such talk.
He told asromanews.it: "Julio will not return to England. I can exclude this."
The 27-year-old Brazilian is out of favour with Luciano Spalletti in the Eternal City and there have been reports in Italy of a possible swap deal with Inter Milan for David Suazo.
"I don't know if this will happen, we shall see," Menendez said. "For the time being I rule out a permanent transfer for Julio."
Baptista was not in the squad on Sunday when Roma lost 3-2 at Genoa in Serie A. by http://www.fifa.com/

MKURUGENZI WA BODI YA UTALII NCHINI AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA MBUGA YA SERENGETI!!

MKURUGENZI MKUU WA BODI YA UTALII UTALII TANZANIA (TTB) BWANA PETER MWENGUO AKIANGALIA TEMBO WAKATI WA ZIARA YAKE YA KIKAZI KUTEMBELEA SINGITA GRUMETI RESERVES ILIYOKO KATIKA MBUGA ZA SERENGETI AMBAPO ALITEMBELEA LOJI ZOTE TATU AMBAZO NI SASAKWA, FARUFARU NA SABORA YOTE YAPO KATIKA WILAYA YA SERENGETI MKOANI MARA.
MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA UTALII NCHINI BWANA PETER J. MWENGUO AKITOA MAELEZO KWA WAANDISHI WA HABARI KWA NINI BAADHI YA MVINYO NA SHAMPENI HUUZWA KWA BEI MBAYA ALIPOTEMBELEA HOTELI ZA KIFAHARI ZA SINGITA GRUMETI RESERVES WILAYANI SERENGETI MWISHONI MWA WIKI. CHUPA ALIYOSHIKA NI YA MVINYO AINA YA PETRUVS AMBAO UNAUZWA KWA DOLA 1,850 KATIKA HOTELI HIYO AMBAO UMEELEZEWA UNAPENDWA SANA NA WATEJA WANATEMBELEA HOTELI HIYO. WAANDISHI WANAOMSIKILIZA NI KHADIJA KHALILI WA TANZANIA DAIMA NA JACOB MGINI WA DAILY NEWS.