SOUTH AFRICAN SAM ROGERS NAMED CNN MULTICHOICE AFRICAN JOURNALIST 2010


Sam Rogers, from South Africa, has been awarded the top prize at this year’s CNN MultiChoice African Journalist 2010 Awards Ceremony.

Sam Rogers, Executive Producer of Factuals – Crime and Investigation Unit, e.tv, won for her story ‘Curse of the Nobody People’, which was chosen from among 2074 entries from 40 nations across the African continent. ‘Curse of the Nobody People’ features on the discrimination and sometimes shocking fate of albinos in Tanzania.

Sam Rogers was one of 27 finalists at the Awards ceremony on Saturday evening and was a winner in the category ‘Television Features Award’.

The Awards, which rotate location each year in tribute to their pan-African credentials, were held at an Awards Ceremony and Gala Evening in Kampala, Uganda this evening, Saturday 29th May 2010.

His Excellency, the President of the Republic of Uganda, General Yoweri Kaguta Museveni; Collins Khumalo, President, MultiChoice Africa and Parisa Khosravi, Senior Vice President of international newsgathering for CNN Worldwide presented Sam Rogers with the Award.

Sam Rogers said: “I’m astounded, very honoured and so glad the story has a platform. People can now see what’s really going on. The truth has been outed.”

Chair of the judging panel, journalist and media consultant Joel Kibazo said: “The journalist told the story with care and sensitivity. She did deep research covering all the angles including the victims, traditional doctors and even the police and the local media. The victims were given a voice and also overcame risks in telling the story. It is a complete piece of work”.

Parisa Khosravi, Senior Vice President of International Newsgathering for CNN Worldwide, said: “Each year, the men and women who enter these awards prove that they have the determination, professionalism and courage to showcase Africa’s stories to the world. In doing so, they highlight the depth and strength of journalism across the continent.”

Collins Khumalo, President MultiChoice Africa, said: “We are very proud to once again partner with CNN International to recognize and encourage excellence in journalism in Africa. The CNN MultiChoice African Journalist of the Year Awards have become one of the continent’s biggest and most coveted journalism awards and celebrate the hard work, talent, sacrifice and the dedication that the best among our journalists commit to their work. The awards have grown significantly over the years and we have witnessed previous winners become internationally recognized for their talent and hard work – watching their rise to fame as respected reporters on Africa has made our investment in these awards truly rewarding. It is a great honour to be in Kampala hosting these awards for the very first time.”

Nico Meyer, Chief Executive Officer, MultiChoice South Africa, said: “As all eyes turn to South Africa this month, it is imperative that journalists are encouraged and supported to tell the African story with passion and excellence. These awards help us to recognise those great stories. This is without a doubt, Africa’s year and we look forward to celebrating more great examples of passion and integrity in journalism next year.”

The evening also recognised Mustafa Haji Abdinur as this year’s recipient of the Free Press Africa Award, for his work in Somalia including the ‘Peace Journalism’ initiative which he launched with the help of fellow Somali journalists. The Award is also in recognition of all the journalists in Somalia who have put their lives at risk in telling the story. There are nine journalists who died during 2009 whilst fulfilling their professional duties:

VODACOM YAKABIDHI MADARASA SHULE YA SEKONDARI IPINDA KYELA!!

Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kyela, Martha Mgeta, akitakata utepe wakati wa uzinduzi wa madarasa mawili ya shule ya Sekondari Ipinda iliyoko Wilayani Kyela Mkoani Mbeya, aliyepembeni yake ni Mkurugenzi wa Vodacom, Kanda ya Kusini, Jackson Kiswaga na mwenye suti ya kijivu ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Agetile Mwakalinga, Mfuko wa Vodacom umejenga madarasa hayo kwa shilingi milioni 19.5.

President Kikwete attends the International Criminal Court Review Conference in Kampala!!

President Jakaya mrisho Kikwete delivers his speech during the opening of the International Criminal Court Review conference in Kampala Uganda this morning.Seated second left is the UN Secretary General Ban-Ki-Moon(photos by Freddy Maro)

President Jakaya Mrisho Kikwete, Uganda's President Yoweri Kaguta Museveni(centre) together with Former UN Secretary General Koffi Annan in conversation shorly after the opening of the International Criminal Court Review Conference in Kampala this morning.

NDOVU YATESA UGHAIBUNI KWENYE MODE SELECTION!!

Habu ingia katika Link hii BOFYA HAPA ambapo utapata video zinazoeleza matukio mbalimbali ya tuzo hiyo jinsi ilivyokuwa na mambo mbalimbali yaliyojiri katika tuzo hizo

Kumekucha Clouds Tv,kaa tayari kuanzia kesho!

Burudani ni Jadi yao na inazidi kuendelea.! Wana wa Clouds Media Group kupitia Clouds TV wanakuletea burudani ya pekee ya Soka la Ulimwengu,katika levo ya juu kabisa,Mchakato huo wa kuwaletea mpango mzima wa Kandanda unaanza rasmi hapo kesho,yaani Juni 1 kupitia Luninga yao ya Clouds Tv,kila siku saa 3:30 usiku.Watakuwa wanakuletea uchambuzi wa kina ukiambatana na matukio halisi kwenye picha za ubora wa hali ya juu kabisa.Wakiwa katika kipindi chao kiitwacho The road to South Africa 2010 kitakuwa kikichambuliwa na Watangazaji mahiri na wenye vipaji akiwemo Paul James (PJ) pamoja na Shaffih Dauda (Mzee wa number 10). Pichani ni Watangazaji Paul James pamoja na Shaffih Dauda wakiwa ndani ya Studio za Clouds TV tayari kwa kuwaletea mambo mazuri ya kiburudani katika anga ya kisoka zaidi. Picha kwa hsani ya www.michuzijunior.blogspot.com.

Hongera Mkurugenzi Joseph Kusaga kwa kazi nzuri manake Studio inatisha.

POPULAR SPORTS BONANZA KUFANYA MAMBO TCC CHANG'OMBE JUNI, 6,2010.

Mkurugenzi wa Popular Sports Bonanza Othman Kazi kulia akizungumza na waandishi wa habari leo kwenye Hoteli ya Movenpick wakati wa mkutano uliohusu bonanza la kuhamasisha mashabiki wa soka ili kufuatilia michuano ya kombe la dunia mara itakapoanza rasmi hapo juni 15.
Kazi amesema bonanza hilo litakalofanyika Juni 6 2010 kwenye viwanja vya TCC Sigara Chang'ombe litashirikisha timu kutoka taasisi mbalimbali na timu hizo zitakuwa na majina ya timu zinazoshiriki kwenye kombe la dunia kama uwakilishi na uhamasishaji wa mashabiki wa soka.
Amezitaja timu hizo kuwa ni Vodacom Tanzania, T. Scan, The Bankers inayoshirikisha benki mbalimbali jijini Dar es salaam, Movenpick, Cocacola, PSI, Zain, Tmes Fm. Nevada Real Estate Fitness na nyingine nyingi, wengine wanaofuatia kwenye picha ni carol rath Afisa kutoka ubalozi wa Afrika Kusini, Msemaji wa Bonanza hilo Cliford Ndimbo, Meneja wa Mpango wa kupambana na Ukimwi PSI Dr. Alex Ngaiza na Mkuu wa Burudani wa bonanza hilo Addull Kipenga.
Othmani Kazi Mkurugenzi wa Popular Sports Bonanza akionyesha zawadi za vikombe zitakazotolewa kwa washindi katika bonanza hilo.

MISS CHANG'OMBE 2010 KUMEKUCHA, WAREMBO WAJIFUA VIKALI!!

Warembo wanaoshiriki shinfdano la Miss Chang'ombe 2010 wakiwa katika picha ya pamoja kwenye klabu ya TCC Sigara Chang'ombe jijini Dar es salaam jana jioni.
Shindano hilo linatarajiwa kufanyika Juni 4 wiki hii katika ukumbi huohuo ambapo jumla ya warembo 19 watapanda jukwaani kuwania taji hilo huku burudani ikitolewa na bendi maarufu ya FM Academia ya jijini Dar es salaam pamoja na kikundi cha ngoma za asili cha Machozi.
Aliyewahi kuwa Miss Temeke Jokate Mwegelo akizungumza na warembo hao mara baada ya kumalizika kwa mazoezi yao jana jioni ambapo pia kamati ya Miss Tanzania ilitembelea kambi ya mazoezi hayo.
Warembo wanaoshiriki kwenye shindano la Miss Chang'ombe wakiwa katika mazoezi jana jioni kwenye klabu TCC Sigara Chang'ombe.

KATIBU MKUU HABARI NA UTAMADUNI AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI!!

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Mh. Seith Kamuhanda akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari katika ukumbi wa DICC uliopo PPF Tower jijini Dar es salaam kwenye mkutano wenye lengo la kufahamiana na kubadilishana mawazo pamoja na kupeana changamoto na mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kufuata maadili katika fani nzima ya uandishi wa habari.
Pamoja na mambo mengine ametoa changamoto kwa wahariri wawe chachu katika kuleta mabadiliko na kuhakikisha kuwa habari zinazotolewa zilenge katika kuchochea maendeleo nchini.
(Picha na Aron Msigwa - MAELEZO).
Wahariri wa Vyombo malimbali vya habari wakiwa wakimsikiliza katibu mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo inayofanyika leo kwenye ukumbi wa DICC jijini Dart es salaam.
Mkurugezni wa Idara ya Habari Maelezo Clement Mshana akiwa katika semina hiyo inayoendelea kwenye ukumbi wa DICC PPF Tower leo.


Bonanza la uzinduzi wa mashindano ya SHIMIWI lafanyika u/Taifa!!

Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii JInsia na Watoto Mariam Mwafisi akiongoza Joging ya Bonanza la uzinduzi ya mashindano ya SHIMIWI yatakayofanyika mkoani Tanga kuanzia Septemba 17 mpaka Octoba 2, 2010
Picha zote na Ofisa Habari wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT)
Hapa kikagua kilimo
Mgeni rasmi akikagua timu ya Uhamiaji


TUMESHERIA Sports club wakiwa katika picha ya pamoja

Mdau Munir Shemweta Ofisa Habari wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania aliyevaa fulana nyekundu akiwa na watumishi wenzake wa Tume katika Bonanza
Kaimu Mkuu wa Utawala wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Zakariya Kerra katikati akiwa na watendaji wakuu wa RAS Pwani

SHEREHE ZA TUZO ZA BIDHAA BORA ZAANZA UJERUMANI!!

Meneja wa Ndovu Lager Oscar Shelukindo (TBL) pamoja na Mpishi mkuu wa kampuni hiyo (Chief Brewer) Gaudence Mkolwe wakiwa na bidhaa yao ya Ndovu ambayo leo jumatatu usiku itapokea tuzo ya Dhahabu kwenye sherehe za ubora wa bidhaa za Monde Selection ambazo zimeanza rasmi katika ukumbi wa Kurhaus jijini la Wiesbaden, Ujerumani usiku wa kuamkia leo, ambapo makampuni kibao toka kile pembe ya Dunia ambayo bidhaa zake zimeibuka kuwa washindi wa ubora yatazawadiwa.
TBL inawakilishwa na Meneja wa Ndovu Lager Oscar Shelukindo akiongozana na Mpishi mkuu wa kampuni hiyo (Chief Brewer) Gaudence Mkolwa ambapo leo Jumatatu usiku itapokea tuzo ya Dhahabu. Video ya tukio hili la Jumapili

Wageni waalikwa kutoka makampuni mbalimbali wakiwa ndani ya ukumbi wa Kurhaus jijini la Wiesbaden, Ujerumani usiku wa kuamkia leo

Sherehe za ubora wa bidhaa za Monde Selection ambazo zimeanza rasmi katika ukumbi wa Kurhaus jijini la Wiesbaden, Ujerumani usiku wa kuamkia leo, ambapo makampuni kibao toka kile pembe ya Dunia ambayo bidhaa zake zimeibuka kuwa washindi wa ubora yatazawadiwa.

Mpishi mkuu wa kampuni ya TBL (Chief Brewer) Gaudence Mkolwe akiangalia vinywaji mbalimbali vilivyopo kwenye sherehe za ubora wa bidhaa za Monde Selection ambazo zimeanza rasmi katika ukumbi wa Kurhaus jijini la Wiesbaden, Ujerumani usiku wa kuamkia leo, ambapo makampuni kibao toka kile pembe ya Dunia ambayo bidhaa zake zimeibuka kuwa washindi wa ubora yalizawadiwa.

Kusho ni Bw. Edwin Gafa, kiongozi wa msafara wa Nile Breweries ya Uganda ambao wamepata tuzo ya kushiriki mara nyingi kwenye Monde Selection, Wawakilishi wa kampuni ya TBL ,Meneja wa Ndovu Lager Oscar Shelukindo akiongozana na Mpishi mkuu wa kampuni hiyo (Chief Brewer) Gaudence Mkolwe.
Meneja wa Ndovu Lager Oscar Shelukindo pamoja na Mpishi mkuu wa kampuni hiyo (Chief Brewer) Gaudence Mkolwe wakiangalia vinywaji mbalimbali vilivyopo kwenye sherehe za ubora wa bidhaa za Monde Selection ambazo zimeanza rasmi katika ukumbi wa Kurhaus jijini la Wiesbaden, Ujerumani usiku wa kuamkia leo, ambapo makampuni kibao toka kile pembe ya Dunia ambayo bidhaa zake zimeibuka kuwa washindi wa ubora yalizawadiwa.

President Kikwete arrives in Uganda to attend the International Criminal Court Review conference!!

A four years Ugandan pupil Christina Kwezi hands over a bouquet of flowers to President Jakaya Kikwete shortly after he arrived at Entebbe international airport yestarday.President Kikwete is Uganda to attend the International Criminal Court(ICC) Review Conference.

President Jakaya Mrisho Kikwete inspects a guard of honour mounted by the Uganda's People Defence Force shortly after he arrived at Entebbe Airport in Uganda to attend the International Criminal Court Review conference

Buganda Traditional royal Dancers entertains President Jakaya kikwete and his delegation shortly after he arrived at Entebbe airport this evening to attend the ICC Review Conference(photos by Freddy Maro)


MASIKA MWASIKA ALIPOSHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 4!!

Mtoto Masika Mwasika wa shule ya awali ya Genesiss Oysterbay akilisha keki baba yake Aloyce Mwasuka wakati wa sherehe yake ya kutimiza miaka 4 aliyofanya shuleni kwao pamoja na wanafunzi wenzie hivi karibuni.
Timu ya FULLSHANGWE inakupongeza mtoto Masuka kwa kutimiza umri huo tunakutakia mungu akujalie maisha na yenye mafanikio.
Hapa watoto wakigawiwa keki na walimu wao ili nao waionje na kusherehekea pamoja na rafiki yao Masika huku wakionyesha furaha kutokana na tukio hilo.





Le Guen names final Cameroon squad!!

Cameroon coach Paul Le Guen has named Samuel Eto'o in his 23-man squad for the 2010 FIFA World Cup South Africa™. The Inter Milan player is unhappy with comments made by the legendary Roger Milla, and though he missed yesterday's 1-1 draw with Slovakia, he has been given the nod.

While striker Jacques Zoua was already out through injury, Le Guen cut another six names from his squad. Jean Patrick Abouna Ndzana, Amour Patrick Tignyemb, Makadji Boukar, Jean Patrick Abouna Ndzana, Marcel Ndjeng, Patrick Mevoungou and Dorge Kouemaha are the names dropped.

Arsenal's Alex Song and his veteran uncle Rigobert will be on the plane, as will Tottenham Hotspur pair Benoit Assou-Ekotto and Sebastien Bassong.

Cameroon squadGoalkeepers: Hamidou Souleymanou (Kayserispor), Carlos Kameni (Espanyol), Guy Roland Ndy Assembe (Valenciennes)Defenders: Benoit Assou-Ekotto (Tottenham), Sebastien Bassong (Tottenham), Gaetan Bong (Valenciennes), Aurelien Chedjou (Lille), Geremi (Ankaragucu), Stephane Mbia (Marseille), Nicolas Nkoulou (Monaco), Rigobert Song (Trabzonspor)Midfielders: Eyong Enoh (Ajax), Jean II Makoun (Lyon), Georges Mandjeck (Kaiserslautern), Joel Matip (Schalke), Landry Nguemo (Celtic), Alexandre Song (Arsenal)Forwards: Vincent Aboubakar (Coton Sport), Eric Choupo-Moting (Nurnberg), Achille Emana (Real Betis), Samuel Eto'o (Inter Milan), Mohamadou Idrissou (Freiburg), Achille Webo (Mallorca).

AMISUU MALIK ATAWAZWA KUWA VODACOM MISS SINZA 2010!!

Mshindi wa Vodacom Miss Sinza, Amisuu Malik, akilia kwa furaha baada baada ya kutawazwa kuwa Vodacom Miss Sinza 2010, Kushoto ni mshindi wa pili, Caroline Ndembo na kulia ni Salma Ally ambaye aliyeshika nafasi ya tatu, shindano hilo lilifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Vatican City, Sinza Jijini Dar es Salaam.
Meneja Bidhaa wa Vodacom Tanzania Elihuruma Ngowi akizungumza ka wa niaba ya Vodacom ambao ndiyo wadhamini wakuuu wa Miss Tanzania nyuma aliyesimama jukwaani ni mwandaaji wa shindano hilo Mamaa Vareria Urio.
Vazi la jioni.
warembo katika shoo ya ufunguzi.
Nyoshi El Sadaat kushoto akimtambulisha mwanamuziki Adolf Domingize wa Wenge Musica (Tonyatonya) kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati alipotembelea na kujionea shindano hilo la urembo.
Kiongozi wa bendi ya FM Academia Nyoshi El Sadaat akiimba huku akimuangalia mnenguaji wa bendi hiyo wakati walipofanya onyesho lao katika shindano la Miss Sinza usiku wa kuamkia leo pale Vatcan City Sinza jijini Dar es salaam.

SAID MACHENJE NDIYE MSHINDI WA DAR SLAM POETRY CHAMPIONSHIP 2010!!

Mkurugezi wa kituo cha utamaduni cha Ufaransa Alliance Francaise Didier Martin kushoto akimkabidhi zawadi na kadi mshindi wa shindano la Dar Slam Poetry Championship 2010 Said Machenje kutoka kundi la sanaa la Pambazuko lililoko Mbagala Charambe mara baada ya kuwagalagaza wenzake 24 katika shindano hilo lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es salaam jana
Shindano hilo liliandaliwa na Mrisho Mpoto Production Inc Limited chini ya mrisho Mpoto mwenyewe mshindi wa shindano hilo atawakilisha nchi kwenye shindano la ushairi litakalofanyika katika visiwa vya Reunion na kisha baadae atawakilisha nchini kwenye shindano kubwa litakalofanyika nchini Ufaransa, katika safari yake hiyo ubalozi wa Ufarasa utamghalimia mshindi huyo gharama zake zote za safari atakapokuwa huko mpaka atakapomaliza mashindano.
Lakini pia wadshindi wengine wanne watajifunza kifarasa na kijerumani bure mpaka watakapojua, katika shindano hilo Thabit Muharami alishika nafdasi ya pili wakati Mohamed Gota wa kundi la Pambazuko pia alichukua nafasi ya tatu.
Washindi watatu waliopatikana katika shindano hilo wakipiga picha ya pamoja mara baada ya kutangazwa washindi na kuwakabidhi zawadi zao shindano hilo la Dar Slam Poetry Championship lilikuwa limedhaminiwa na Goethe Institute na Alliance Francaise.
Hawa ni vijana kutoka kundi la sanaa za kuigiza la Pambazuko kutoka mbagala Kibirugwa wakishuhudia wenzapoi walipokuwa wakighani kwenye mashindano hayo.
Watu mbalimbali waliojitokeza katika viwanja vya Leaders jijini Dar jana ili kushuhudia mashindano ya Ushariri yaliyoshirikisha vijana mbalimbali wa jiji la Dar es salaam.

MBIO ZA COMRADES NUSU MARATHON ZAFANYIKA JIJINI DAR!

Baadhi ya wakimbiaji wa mbio za kilomita 5 za Comrades za nusu Marathon wakikimbia katika mbio hizo zilizofanyika mwishoni leo Jijini Dar es Salaam, mbio hizo zilidhaminiwa na Vodacom Tanzania pamoja na makampuni mengine, zilikuwa na lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya watu wenye matatizo maalum katika jamii, kulia ni wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwagawia maji wakimbiaji hao.


RAGE NA KAMATI ZA SIMBA, JE? ZITAZAA MATUNDA!


KAMATI ya Utendaji ya klabu ya Simba imemteua Zakaria Hans-pope kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili.

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage, alisema kuwa Kamati ya Usajili itakuwa chini ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji aliyemteua Zakaria Hans-pope huku Katibu wa Kamati hiyo atakuwa ni Mulamu Ngh'ambi, wajumbe ni Swedi Nkwabi, Salim Abdallah, Musleh Al-Rawah, Azim Dewji na Patrick Paul.

Rage alisema Kassim Dewji ameteuliwa kuwa mshauri mkuu wa kamati hiyo ya usajili baada ya kuona mchango wa mra kwa mara katika usajili wa klabu hiyo huku Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Godfrey Nyange 'Kaburu' aliyekuwa makamu wa kamati hiyo.

Kaburu Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Makamu wake ni Joseph Itang'are, Onesmo Waziri, Said Pamba, Eubert Mhada, Johnson Basasawa na Andrew Tupa.
Kamati ya Mashindano Mwenyekiti ni Hassan Othman 'Hassanoo', Makamu ni Dany Manembe, wajumbe ni Adam Mgoyi, Jerry Yambi, Selemani Zakazaka, Hassan Bantu na Gerald Lukumai.

SHEREHE ZA MWENGE MKOANI MANYARA JANA!!

Makamu wa Rais Dr. Ali Mohamed Shein akiwasha Mwenge Mkoani Manyara ,Wilaya ya Babati , (wa pili kushoto ) ni Waziri wa kazi na Maendeleo ya Vijana Mhe. Juma Kapuya (Tanzania Bara) na ( wa pili kulia ) ni Waziri wa kazi na Maendeleo ya Vijana (Zanzibar) Mhe. Asha Abdallah Juma akishuhudia uwashaji wa Mwenge huo jana.
( Picha zote na Anna Itenda _Maelezo)
Wazee wa Mji wa Babati Wakimtunuku silaha za jadi na mavazi ya jadi kuashiria kuwa anakaribishwa kuwa mwenyeji wao Mkoani Manyara ,wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mwenge jana.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara ndugu Hendry Shekifu(wa kwanza kushoto) akiimba wimbo wa Taifa akishirikiana na Makamu wa Rais Dr. Ali Mohamed Shein wa pili kulia wakati wa uzinduzi wa Mwenge Mkoani Manyara Wilaya ya Babati jana.

Baadhi ya wananchi mbalimbali wa Mkoa wa Manyara Wilayani Babati wakiangalia na kushuhudia uzinduzi wa Mwenge Mkoani mwao jana
Chipukizi wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa Uzinduzi wa Mwenge Mkoani Manyara Wilaya ya Babati jana.