MBIO ZA COMRADES NUSU MARATHON ZAFANYIKA JIJINI DAR!

Baadhi ya wakimbiaji wa mbio za kilomita 5 za Comrades za nusu Marathon wakikimbia katika mbio hizo zilizofanyika mwishoni leo Jijini Dar es Salaam, mbio hizo zilidhaminiwa na Vodacom Tanzania pamoja na makampuni mengine, zilikuwa na lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya watu wenye matatizo maalum katika jamii, kulia ni wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwagawia maji wakimbiaji hao.


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment