BIG BROTHER AFRICA REVOLUTION - Daily Updates - Day 23 (September 29, 2009)

Day 23 of M-Net’s BIG BROTHER REVOLUTION was filled with confrontation, romance – and sheep! On Sunday, Paloma told Itai that she felt betrayed by him when he didn’t keep his word. The next day, Itai told Big Brother that he was struggling with the tension in the house caused by the immorality that surrounds alliances. He felt like his alliance with the girls had no loyalty and wasn't sure who to trust.
After his attempts to make amends with Paloma failed on Monday, he finally made his decision about who he is going to support and nominated Paloma and Liz. On Tuesday morning, Itai re-iterated his loyalty to Yacob and the twins, claiming that it is not about the money for him, but rather about true friendship. The drama continues!
The housemates were handed their task on Tuesday, one which will surely push their endurance to the limit. Without knowing it, their task had actually started as soon as they woke up on Tuesday and will continue until they end their presentation on Thursday evening. Although the task has numerous components, the challenge is to not fall asleep during Big Brother's "waking hours". Big Brother decided that all housemates may sleep for a maximum of 4 hours on Tuesday night and 5 hours on Wednesday night.

KATIBU MKUU MALI ASILI NA UTALII MGENI RASMI VODACOM MISS TANZANIA IJUMAA!!

Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundenga leo katika katika ofisi ya kamati hiyo mtaa wa mkwepu jiji Dar ametangaza Mgeni rasmi katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2009 linalotarajiwa kufanyika ijumaa hii oktoba 2 kwenye ukumbi wa Mlimani City.
Akizungumza na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali Hashim Lundenga amesema katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dr. Ladislaus Komba ndiye atakuwa mgeni rasmi katika shindano hilo lenye mvuto wa hali ya juu nchini, Lundenga ameongeza kuwa Dr. Ladslaus Komba ni mtu muhimu kwa shindano letu kwa kuwa shindano la Miss Tanzania pia linatangaza utalii wa nchi yetu, hivyo kuwepo kwake katibu mkuu huyo wa Wizara ya Maliasili na Utalii kutaamsha zaidi ari ya watanzania kujitokeza katika kuutangaza na kuuthamini utalii wa nchi yetu.
Wakati huohuo Lundenga amewataja majaji watakaoamua na kmpata mrembo wa Tanzania siku hiyo, amesema walipeleka majina 15 kwenye Baraza la sanaa nchini ili wapatiwe majaji watakaochagua mrembo wa Tanzania, na Baraza la Sanaa BASATA limewarudishia majina 9.
Ameyataja majina hayo na sehemu wanazotoka kuwa ni Bw. Robert Collmore Mjumbe wa Bodi ya Vodacom kutoka Vodafone Uingereza, Suzan Mungi Mkurugenzi wa Habari na Matukio Shirika la Habari Tanzania TBC,Dorris Malulu Afisa Uhusiano Kampuni ya bia TBL, Devotha K. Mdachi Mkuu wa Kitengo cha Habari na Utalii, Capt Sadiki Muze Rubani shirika la ndege ATCL, Lusekelo Mwakalukwa Corporate Governace Manager Tanzania One, Bernad Mrunya Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Ngorongoro NCAA, Stella G. Kariuki Afisa Utawala Kampuni ya Simu SAMSUNG na Prashant Patel Mwenyekiti Kamati ya Miss Tanzania.

MWANAMITINDO FATMA AMOUR KUZINDUA "MAGIC OF TANZANIA" NCHINI MAREKANI!!

Mkuu wa kitengo cha Utamaduni Ubalozi wa Marekani aliyekaa kulia Karen Grisette akizungumza na waandishi wa habari kwenye Ubalozi huo leo wakati alipowatangaza Wanawake watanzania 13 wanaotarajia kwenda nchini humo kwa mafunzo mbalimbali ya kazi za sanaa kwa mwezi mmoja, hili ni kundi la tatu kwenda nchini Marekani kwa mafunzo hayo makundi mengine mawili yameshakwenda na kupata mafunzo na wamerejea nchini.
Karen amesema wasanii hao kutoka mikoa ya Tanga, Zanzibar Bagamoyo Dar es salaam Arusha na Dodoma watashiriki katika maonyesha ya sanaa za aina mbalimbali yanayoandaliwa na vikundi vya sanaa vya Jimbo la Ohio nchini humo.
Ameongeza kuwa mafunzo yataanza tarehe 6 oktoba na kumalizika tarehe 3 Novemba ambapo mpango huu wa mafunzo unadhaminiwa na serikali ya Marekani, ameongeza kuwa wasanii hawa pia watatembelea jumuiya mbalimbali katika majimbo ya Michigan na Ohio,
Katika safari hiyo Mwanamitindo mbunifu wa Tanzania Fatma Amour Hamad wa Famour Designs ambaye ataongoza wenzake 12 katika safari hiyo anatarajiwa kuzindua mitindo yake katika hafla ya uchangiaji wa sanaa yenye jina "Magic Of Tanzania" uzinduzi utakaofanyika jimbo la Ohio tarehe 12 oktoba, pia atatambulisha mitindo na kazi zake nyingine za sanaa katika maonyesho mengine nchini Marekani.
Fatma Amour akitoa shukurani zake kwa Ubalozi wa Marekani kwa kumchagua kwenda katika mafunzo hayo yatakayochukua mwezi mmoja nchini Marekani.
Wasanii waliorejea wakizungumza mbele ya wanahabari kushoto anayeziungumza ni Mwandale Mwanyekwa, wapili Amoke Kyando na Salma Abdallah.
Baadhi ya wanamitindo kutoka kampuni ya Dollwood wakiwa katika picha ya pamoja wanamitindo hao walionyesha mavazi ya Fatma Amour katika mkutano huo.
Karen Grisette akiwa katika picha ya pamoja na wasanii waliorejea kutoka mafunzoni na wanaokwenda katika mafunzo hayo.
kutoka kushoto ni Fatma amour,Zena Abdallah,Amoke Kyando aliyerejea kutoka katika mafunzo hayoSalma Masenga, Harieth Kagangule, Mwandale mwanyekwa (Big Mama) na Scolastca Malecela wakiwa katika picha ya pamoja.

Donors provide additional $23 million to UN for better development results!!

Hon. Mustafa Mkulo.
Dar Es Salaam 29/09/2009 – Finland, Ireland, Norway, Spain, and the UK have made an additional $23 million available to the UN in Tanzania through the UN One Fund. These funds will be used, in cooperation with the government, for better development results in Tanzania.
The One Fund is part of the Delivering as One pilot initiative in Tanzania which aims to improve development results delivered by the UN and its partners through increased programme coherence, harmonising business practices and communication amongst UN agencies, and increasingly working with government, through its systems.
The Joint Steering Committee, on Thursday 24
th September, approved the release of funds for the One UN Programme financial year 09/10. The Joint Steering Committee is co-chaired by the Permanent Secretary from the Ministry of Finance and Economic Affairs, the government’s lead ministry on UN reform, and the UN Resident Coordinator, the highest ranking UN official in the country. This is the first year the UN has aligned its programming cycle to the government fiscal year - part of its effort to become a more effective development partner to the government.
The funds allocated will be spent on a number of the Joint Programmes which are part of the One Programme. These include:
· Wealth creation employment and economic empowerment
· Maternal and newborn mortality reduction
· Support to national HIV/AIDs response
·
Capacity strengthening for development management
· Capacity building support to Zanzibar
· Managing transition from humanitarian assistance to sustainable development in Northwestern Tanzania
· Strengthening National Disaster preparedness
· Education
· Environment and Climate change.

This new allocation of funds is in addition to the $40 million the One Fund has contributed to development in Tanzania since its inception in 2008 through contributions from the above donors, as well as Canada, the Netherlands, and Sweden.

The Joint Steering Committee is the core decision making body of the Government-UN and Development Partner governance structure. It oversees the implementation of the United Nations Delivering as One pilot in Tanzania.
Tanzania was among the eight countries in the world first selected to pilot of the Delivering as One reform initiative at country level. Albania, Cape Verde, Mozambique, Pakistan, Rwanda, Uruguay and Viet Nam were the other seven. For more background information on UN Reform and coherence go to http://www.undg.org/.

Newala kunufaika na mradi wa maji (George Mkuchika)

Waziri George Mkuchika.
(Na Benjamin Sawe – Maelezo – Newala)

Serikali imetoa kiasi cha Shilingi Milioni 800 na kununua pampu za kusukumia maji katika wilaya ya Newala kwa lengo la kukabiliana na tatizo la maji katika wilaya hiyo. Hayo yamesemwa jana na Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Wilaya ya Newala, Mheshimiwa George Mkuchika wakati wa ziara yake ya siku tano ya kutembelea Wilaya hiyo.
Mhe. Mkuchika amesema, kugundulika kwa gesi katika kijiji cha Msimbati mkoa wa Mtwara kutasaidia kwa kiasi kikubwa kupatikana kwa umeme wa uhakika na kwamba Serikali ipo katika hatua za awali za kuhakikisha kuwa umeme wa uhakika unapatikana katika wilaya hiyo kwani bila umeme maji yasingepatikana. Akizungumzia suala la elimu katika wilaya ya Newala, Mhe. Mkuchika amesema, jumla ya shule 26 zimejengwa katika wilaya yake na kuvuka lengo la awali lililowekwa la kujenga shule 22.
“Tulikuwa na lengo la kujenga shule 22 katika wilaya ya Newala lakini tumejenga shule 26 hivyo tumevuka lengo katika wilaya yetu kwa kujenga shule nne zadi,” alisema Mkuchika. Aidha Mheshimiwa Mkuchika amesema, Serikali imeanzisha mfumo wa stakabadhi ghalani na kusema mfumo wa zamani ulikuwa unawadhulumu na kuwakandamiza wakulima. Katika mfumo uliokuwepo, wamekuwa wakidhulumiwa haki yao kwani wanunuzi walikuwa wakijipangia bei kutokana na matakwa yao hivyo kupelekea wakulima kukosa haki zao. Katika ziara hiyo alitembelea vijiji vya Mapili, Mkunya, Mitumbatu na Chihwindi ili kujionea maendeleo mbalimbali. Mheshimiwa Mkuchika pia ametembelea chanzo cha maji cha Nkunya katika wilayaya Newala. Mhe. Mkuchika amesema, kwa kushirikiana na Serikali vyama vingi vya Ushirika vimeweza kujenga ofisi zao na kununua gari la wagonjwa katika hospitali ya Newala.
“Tukiendelea kushirikiana hivi kwa miaka kumi Wilaya yetu ya Newala itafika mbali na kuwa na maendeleo kupita Wilayazote katika Mkoa wa Mtwara.” Wakati huo huo Mheshimiwa Mkuchika amewaasa wananchi wa Wilaya ya Newala kuacha tabia ya kutembea na wanafunzi kwanikwa kufanya hivyo wanawanyima haki lililowekwa yao ya msingi ya kupata elimu.Alisema. Pia alisema kuwa kwa sasa Serikali ina mpango wa kujenga kituo kikubwa na cha kisasa cha polisi katika wilaya hiyo ili kuendelea kudumidha ulinzi na amani katika wilaya ya Newala. Pia Serikali imetoa zaidi ya shilingi milioni miasita kwaajili ya matengenezoya barabara za wilayani pamoja na barabara ya kuingia mjini Newala.

Fatma Amor Hamad’s Fashions to Show in the United States!!

Fatma Amor Hamad’s Fashions to Show in the United States with Twelve Tanzanian Women Artists Selected for the ‘Arts Exchange on Women’s Issues’ with U.S. Artists
Dar es Salaam fashion designer, Fatma Amor Hamad of Famour Designs, will introduce her fashions and accessories in several shows in the United States as part of the “Arts Exchanges on International Issues with Tanzania” grant funded by the U.S. Bureau of Educational and Cultural Affairs and organized by Arts Council Lakes Erie West and Great Lakes Consortium for International Training and Development.
Twelve additional Tanzanian women artists will also travel to the U.S. from October 6 to November 3, 2009 in conjunction with the program and participate in the U.S. National Arts & Humanities Month activities. Ms. Hamad has designed fashions for fifteen years and has been featured in numerous magazines and television programs in Africa. Most recently, Ms. Hamad presented her fashions at ‘World Women’s Day’ at ‘DarAlive’ (Kakakuona) on March 7, 2009 in Dar es Salaam.
She was crowned Miss Redd’s Ambassador 2006/2007 for her outstanding designs and was the winner at Redds Africa fashion designer awards for three consecutive years in 2005/2006/2007. Ms. Hamad’s exquisite handwork, detailed beadwork and creative ensemble embellishments have made Fatma Amour Hamad a sought after brand name in the fashion market. She continues to receive letters of invitation by other top designers in Tanzania to introduce her country theme fashions.
Ms. Hamad’s dreams of becoming an international fashion designer have come true and she will introduce her fashions at the ‘Magic of Tanzania’ fundraiser event for “Arts Exchanges on International Issues with Tanzania” in Sylvania, Ohio, USA on October 12, 2009. Twelve other Tanzanian women artists including: Harieth Bitanuzile and Miriam Mzee from Bagamoyo, Zena Walakai also from Dar es Salaam, Miriam Mussa and Kauthar Khalfan from Zanzibar, Mefakii Jumbe and Kulthum Omary from Tanga; Maria Chuwa and Martha Ntoipo and Veronica Mushi and Regina Mfoy from Arusha, and Scolastica Malecela from Dodoma will also participate in an exhibit “Art in a Woman's World” at the Magic of Tanzania event.
Tanzanian artists will also participate in arts business development and women’s gender issues workshops, make connections with artists and arts organizations, work on joint artwork with U.S. artists while in the U.S. The artists will visit different communities in the State of Ohio (Toledo, Bowling Green, Sylvania, Fremont, Findlay, Columbus, Cleveland) and in the State of Michigan (Detroit, Ann Arbor, East Lansing and Okemos).
The Great Lakes Consortium for International Training and Development and the Arts Council Lake Erie West are regional nonprofit agencies working in collaboration on this grant program funded by the U.S. State Department Bureau of Educational and Cultural Affairs Cultural Division. WSOS Community Action Commission, Inc. is the U.S. grant contract agent and manager.

TAIFA QUEEN YAWANYANYASA LESOTHO KATIKA NETBALL!!

Mke wa Rais Mama Salama Kikwete aliyekuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mashindano ya netball kwenye uwanja mkuu wa Taifa jana akisalimiana na wachezaji wa timu ya taifa ya Lesotho kabla ya kuanza kwa mchezo kati ya Tanzania na Lesotho ambapo Tanzania ilishinda magoli 33-19 mashindano hayo ya kimataifa ya Netball yanasimamiwa shirikisho la vyama vya Netball vya kimatifa International Federation of Netball Association (IFNA)
Mchezaji wa Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Queen akijaribu kufunga goli katikati ya walinzi wawili wa timu ya Lesotho wakati wa mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa mashindano hayo ya Mchezo wa Netball kati ya timu hizo iliyofanyika jana kwenye uwanja mkuu wa taifa Tanznia ilishinda magoli 33-19.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake wakati alipofungua mashindano ya Netball kwa nchi za Afrika yanayofanyika nchini yakiandaliwa na chama cha Netball CHANETA yaliyoanza jana kwenye uwanja mkuu wa Taifa. kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Evance Balama na anayefuata ni Anna Bayi Mwenyekiti wa Chama cha hicho.
Kuazia kushoto ni Timu za Tanzania, Namibia na Afrika kusini zikiwa zimekaa tayari kwa kupigiwa nyimbo za mataifa yao wakati wa ufunguzi wa mashindano ya NetBall kwa nchi za Afrika jana kwenye uwanja mkuu wa Taifa.
Timu mbalimbali zikiwa zimejipanga tayari kwa kudigiwa nyimbo zao za Taifa

Kikundi cha ngoma cha JWTZ kikitumbuiza wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo yanayoshirikisha nchi mbalimbali za Afrika.
Katibu mkuu msaidizi wa CHANETA Rose Mkisi kushoto na Mweka hazina wa chama hicho Flora Kasambara wakiingia katika viwanja vya mashindano kabla ya kufunguliwa rasmi na mke wa rais Mama Salma Kikwete jana.
Wanafunzi kutoka shule mbalimbali walihudhuria katika uzinduzi wa mashindano ya Netball kwa nchi za Afrika yaliyozinduliwa jana kwenye uwanja mkuu wa Taifa jijini Dar se salaam.

Big Brother Revolution: Phil and Jen are out!


September 2009

The third eviction show of M-Net’s BIG BROTHER REVOLUTION (Sunday 27 September, live at 19:00 CAT) provided more drama than ever before as two housemates left: Mozambique’s Jen - of her own volition - and Uganda’s Phil - for not gathering enough votes from Africa.


With Jen making a voluntary exit from the series due to personal reasons, she was the first to depart the Big Brother house this week, saying her goodbyes and meeting series host IK on stage where she was also met by her father. After her departure, when IK took viewers inside the house to ask Kevin to reveal that he had replaced Edward with Phil during the nominations on Monday, the announcement was met with silence as the housemates processed the news. Edward, obviously relieved, simply smiled while Phil trudged off to pack his bags.

When the time came to announce who would be leaving this week, Erastus and Phil stood and waited to receive the news. When IK read the name “Phil”, the man in question looked bemused as he greeted his housemates for the last time and headed out the double doors at the bottom of the garden. Kevin was left looking haunted as he sat motionless on the couch, while Yacob pondered the effects of Phil’s departure in silence.

IK didn’t waste any time in asking Phil about his time spent with Liz over the last few days. “We’re cool – we’re just hanging out,” was the Ugandan’s response. When asked if there was anyone in the house he had been particularly close to, he told IK that there were two people – Elizabeth and Liz. IK also asked him about his statement that he considered Big Brother to be a “non-lethal threat”. “I meant that I didn’t think that Big Brother could get me here so soon,” he said with a shrug. He told IK that he didn’t consider his eviction a big shock as he had had the sense the entire week that Kevin had put him up for eviction. “There was no beef – he was just playing the game,” said Phil.

MAMA WA TAIFA MAMA MARIA NYERERE ALONGA NA WANAHABARI LEO!!

Mjane wa baba wa Taifa mama Maria Nyerere akiongea na wanahabari nyumbani kwake msasani jijini leo, wakati alipotoa taarifa juu ya tuzo aliyoipokea kwa niaba ya Marehemu Malimu J.K.Nyerere kutoka kwa rais wa balaza kuu la umoja wa mataifa katika kutambua mchango wake kwa nchi za bara la Afrika, kushoto ni mtoto wake Makongaro Nyerere.

BREAKING NYUUUUZ, MCHEZAJI WA MPIRA MIGUU "SAID MHANDO" KATUTOKA!!

Mchezaji Saidi Mhando aliyewahi kuchezea timu za Coastal Union ya mkoani Tanga, Timu ya Simba ya jijini Dar es salaam na hatimaye Yanga pia ya jijini Dar es salaam amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Amana ya jijini.
Habari zilizotufikia kutoka kwa watu wa karibu na mchezaji huyo wa zamani aliyechezea timu hiyo zaidi ya miaka mitano iliyopita zinasema mpaka sasa msiba uko nyumbani kwao Magomeni Kota ambako ndiko wazazi wake wanaishi,
Marehemu Saidi Mhando atasafirishwa kesho kwenda kijijini kwao Kisarawe ambako pia mama yake mzazi ndiko alikozikwa, mazishi ya mchezaji huyo yanatarajiwa kufanyika saa kumi jioni mara baada ya kuwasili huko.

MZEE MWINYI AONGOZA MATEMBEZI YA KUCHANGIA FEDHA ZA UPANDAJI WA MITI!!

Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akishiriki katika matembezio ya hisani ya kuchangia fedha kampeni ya kupanda miti inayoendeshwa na shirika la Rotary, jijini Dar es Salaam . Wa pili kushoto ni Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono ( wa pili kushoto) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Benki ya M. Kwa mujibu wa waratibu wa matembesi hayo, zaidi ya Sh. milioni 90 zilipatikanaa. (picha kwa hisani ya Father Kidevu)

WAREMBO VODACOM MISS TANZANIA WALA RAHA KWENYE KISIWA CHA MBUDYA!!

Mrembo Suzan Emamanuel ambaye pia ni Miss Arusha akikata keki kama ishara ya Birthday yake kutimiza miaka 21, huku warembo wenzake wakiwa wamemzunguka, wakati alipofanyiwa pati ya kushitukiza kwenye kisiwa cha Mbudya leo kilichoko pembezoni mwa Bahari ya Hindi jijini Dar es salaam, Vodacom iliandaa tamasha hilo lililokwa mahsusi kwa ajili ya warembo kupumzika na kucheza michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa kikapu, Pete Mpira wa miguu na Kuogelea, mpaka sasa imebaki wiki moja ili shindanola Vodacom Miss Tanzania lifanyike ambapo mwaka huu litafanyika oktoba 2 kwenye ukumbi wa Mlimani City mwaka huu jijini Dar es salaam huku gwiji la muziki wa Rhumba Africa Koffie Olomide kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo litakaloporomosha burudani kali kabisa katika shindano hilo.
Wachezaji wa timu ya M. Pesa wakimzonga mwamuzi kwa kuwaminya katika maamuzi yake wakati wa mchezo wao wa soka la ufukweni dhidi ya The Gread katika tamasha la michezo na burudani liliofanyika katika kisiwa cha Mbudya jijini Dar leo.
Wachezaji wa Tuimu ya M. Pesa wakishangilia mara baada ya kuwashida wenzao wa timu ya The Gread katika mchezo wa kuvuta kamba katika tamasha lililoandaliwa na Vodacom katika kisiwa cha Mbudya jijini Dar es salaam leo.
Hapa Timu ya M.Pesa na The Gread zikishindana katika mchezo wa kuvuta kamba ambapo timu ya M.Pesa ilishida.
Warembo wanaoshiriki shindano la Miss Tanzania wakishangilia timu yao ya The Gread wakati wa timu za M. Pesa na The Gread ziliposhindana katika kucheza mpira wa wavu katika kisiwa cha Mbudya leo.

MSANII CHIPUKIZI BELLE NINE AFANYA KWELI FIESTA DODOMA!!

Msanii Belle Nine akifanya mambo makubwa katika tamasha la Fiesta lililofanyika mkoani Dodoma jana kwenye uwanja wa Jamhuri hapa alikuwa akiimba wimbo wake unaoitwa Msongange aliwakuna vilivyo mashabiki wake waliohudhuria kweny Fiest 2009.

MAMA SALMA KIKWETA KUFUNGUA MASHINDANO YA NETIBOLI JUMATATU!!

Mama Salma Kikwete.
27/09/2009
Mke wa Rais, SALMA KIKWETE atafungua rasmi mashindano ya mpira wa Netiboli yanayozishirikisha nchi 10 za Afrika Jumatatu ijayo tarehe 28 Septemba katika uwanja mpya wa Taifa jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Netiboli Tanzania (CHANETA), Anna Bayi amezitaja nchi zitakazoshiriki kuwa ni Afrika Kusini, Kenya, Uganda, Malawi,Zambia,Lesotho, Namibia, Zimbabwe, Swaziland na wenyeji Tanzania.
Anna Bayi amesema katika siku ya ufunguzi kutakuwa na mechi mbili ambapo mchezo wa kwanza utakuwa kati ya Tanzania na Lesotho na wa pili kati ya Malawi na Kenya. Mechi hizo zitaanza mara baada ya ufunguzi wa michuano hiyo majira ya saa sita mchana.
Kwa mujibu wa Anna Bayi kesho wachezaji wa timu zitakazokuwa zimewasili watatembelea vituo vya watoto yatima vya Msimbazi na Kurasini, saa nane mchana.
Miongoni mwa viongozi watakahudhuria ufunguzi huo ni Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera, mabalozi kutoka nchi za Afrika Kusini, Malawi, Kenya, Uganda, Zambia na Zimbabwe.Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam John Lukuvi wakurugenzi wa mashirika yanayodhamini michuano hiyo pamoja na wakuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

MAMA SALMA KIKWETE AMKUMBUKA MWALIMU J.K. NYERERE KWA KUCHEZA BAO!!

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete leo ameshiriki kwenye uzinduzi wa mchezo wa Bao ulioandaliwa na chama cha michezo ya jadi Dar es salaam,(CHAMIJADA) Uzinduzi huo umefanya kwa kushiriki yeye kucheza Bao na Asia Ally Bushiri na hatimaye Mama Kikwete kuibuka mshindi wa mchezo huo mbele ya aliyekuwa Jaji wa mchezo Bi,Edith Dismas Lyimo (katikati) Uzinduzi huo ulifanyika kwenye viwanja vya Julius k. Nyerere Ukumbi wa Kobe Mchezo huo ni kumuenzi Baba wa Taifa Mwl, Nyerere 26.9.2009
Katika kumuenzi Baba wa Taifa Julius k Nyerere kwenye mchezo wa Bao WatotoAbdul Ally (kulia) 8yrs anayesoma darasa la pili s/msingi ugunja Zanzibar na Salim Hussein (kushoto) 9yrs anasoma darasa la tatu s/msingi majani ya chai Ilala Dar es salaam huku Man Haji akiangalia uchezaji wa Bao Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alikuwa mgeni rasmi (hayupo pichani)

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa pamoja na Warembo wa Miss Vodacom wakati waliposhiriki kwenye ufunguzi wa Tamasha la Chama cha Michezo ya Jadi Dar es salaam na kupiga picha ya pamoja na Warembo hao kwenye uwanja wa Maonyesho wa Julius k Nyerere PICHA NA JUMA KENGELE WA IKULU26.9.2009


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Muu wa Itifaki ya Miss Tanzania Bw. Albert Makoye kushoto pamoja na warembo wanaoshiriki katika shindano la Miss Tanzania 2009.



MREMBO MISS TANZANIA AWAPAGAWISHA MAPEDESHEE, WAMMWAGIA NOTI!!

Mrembo huyu aliigiza kama mwana minenguo maarufu wa taarabu kitu kilichopelekea mashabiki na wageni waalikwa wengi waliokuwepo kupiga mayowe kwa furaha huku mapedeshee wakinyanyuka juujuu na kwenda moja kwa moja jukwaani na kuanza kumwaga manoti kama anavyoonekana Pedeshee huyu ambaye anasadikiwa kuwa ndiye aliyepagawishwa zaidi na mrebo huyo na kuanza kumwaga noti za shilingi elfu kumi kwa mfurulizo wakati mrembo huyo alipokuwa kaifanya vitu vyake jukwaani
Hili lilikuwa ni shindano la vipaji lililoshirikisha warembo mbalimbali wanaoshiriki katika shindano la kumsaka mrembo wa Tanzania atakayewakilisha nchi katika shindano kubwa la Dunia hapo baadae mwaka huu, shindano la Vodacom Miss Tanzania linatarajiwa kufanyika Oktoba 2 kwenye ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam
Kamati ya Miss Tanznia imeeleza kuwa wanamuziki mbalimbali kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi watatoa burudani katika shindano hilo kubwa nchini, wanamuziki watakaotoa burudani katika onyesho hilo ni Koffie Olomide kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Fm Academia wa hapa nyumbani , Malow na wengine wengi.
Huyu naye siyo kwamba anacheza kungfu hapana anajaribu kuiteka hadhira iliyokuwa ikimtazama.
Siyo kwamba kachuchumaa tu hapo kiuno kinazungushwa kama pia mdau.
Huyu aliigiza kama mzazi aliyekuwa shambani akapata uchungu na kujifungua hukohuko shambani alitia fora kwa kweli.
Huyu akijinyonga vya kutosha.
Mkuu wa itifaki Miss Tanzania Albert Makoye akiwapa kipaza sauti warembo tayari kwa kuanza kujitambulisha wakati wa shindano hilo jana.

Binti Machozi Lady JayDee kushoto akiwaongoza wanamuziki Mwinyi na Joniko Mauwa wakati bendi ya Machozi ilipokuwa ikifanya vitu vyake kwenye shindano la vipaji la Vodacom Miss Tanzania ilililofanyika kweye hoteli ya Giraffe Ocean View kunduchi.

Hii ilikuwa ni Staili ya marehemu Michael Jackson iliyoporomoshwa na kundi maarufu la THT ambalo lilikonga nyoyo za mashabiki vilivyo wakati wa onyesho lao la kumuigiza Gwiji huyo wa muziki wa Pop Duniani.

Wabogojo akijipinda vilivyo yaani ilikuwa ni burudani tu.
Wadau wengine wa urembo wakiwa na nyuso za furaha katika shindano hilo haikufahamika furaha yao hasa ilikuwa ni nini, lakini yaelekea burudani ya onyesho hilo ndiyo iliyokuwa ikiwapa raha sana kama unavyoona wakiwa na nyuso za furaha kuanzia kulia ni Mkurugenzi wa magazeti ya Jambo Leo Juma Pinto, Naibu Mkurugenzi wa Jambo Leo na mwaandaaji wa Miss Temeke Benny Kisaka,Jackson Kalikumtima Mwandaaji wa Miss Ilala, Boy George Mwandaaji wa Miss Kinondoni na Afisa Habari wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu.
Wadau wa Simba Nick But kushoto na Salim Try Again walikuwepo katika onyesho hilo la vipaji ili kuona vipaji vya warembo wanaoshiriki shindano la Vodacom Miss Tanzania mwaka huu.
Mdau kijo wa Vodacaom na Lisa Jensen wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kwa onyesho hilo.


Warembo na wageni waalikwa mbalimbali wakiwa wamekaa tayari kwa onyesho la vipaji lililofanyika jana kwenye Hoteli ya Giraffe Ocean View iliyoko Kunduchi jijini Dar es salaam.

Big Brother Revolution: Images from Day 18 - THURSDAY SEPTEMBER 24

It’s day 18 on M-Net’s Big Brother Revolution and the housemates present their version of ‘Thriller’, the global hit from Michael Jackson! Tune in to Big Brother Revolution on DStv channel 198 or 199 for more action, drama and entertainment. For more information log on to www.mnetafrica.com/bigbrother.

TBL yatoa msaada wa stika na fulana Wiki ya Nenda kwa Usalama!!

Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Maneno Mbegu (kushoto) akimkabidhi moja kati ya fulana 800, Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani, James Kombe, ikiwa ni msaada kwa ajili ya maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama itakayoadhimishwa mkoani Mbeya kuanzia Septemba 28 hadi Oktoba 3, Mwaka huu. Katika hafla hiyo iliyoafanyika Dar es Salaam jana, TBL walikabidhi pia msaada wa stika 4000, vyote vikiwa na thamani ya sh. milioni 10.
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Maneno Mbegu akibandika stika kwenye gari Dar es Salaam jana, yenye maneno yanayotahadharisha madereva kutoendesha magari huku wakiwa wamelewa. Stika hiyo ni moja kati ya 4000 zilzotolewa msaada na TBL kwa Kamati ya Wiki ya Nenda kwa Usalama, Dar es Salaam jana. Pia TBL ilitoa msaada wa fulana 800 kwa kamati hiyo. Wa pili kushoto ni Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani, James Kombe,