MSANII CHIPUKIZI BELLE NINE AFANYA KWELI FIESTA DODOMA!!

Msanii Belle Nine akifanya mambo makubwa katika tamasha la Fiesta lililofanyika mkoani Dodoma jana kwenye uwanja wa Jamhuri hapa alikuwa akiimba wimbo wake unaoitwa Msongange aliwakuna vilivyo mashabiki wake waliohudhuria kweny Fiest 2009.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment