Idol, the phenomenon continues on dstv American!!

March 2009
The eighth season of the incredibly successful series American Idol starts on M-Net Series from March 4 at 19:00 CAT. DStv audiences are invited to watch as new talent is unearthed and a new American Idol given the chance of a lifetime.
Since the shows’ inception in 2002 the music industry globally has seen a spike in record sales, new talent signings and reality television series. Considered a benchmark when it comes to reality TV, American Idol, unlike most shows, uses the public’s vote to determine the winner of the competition.
The show seeks to discover the best singer in the country through a series of auditions that are hosted throughout the U.S. The judges critique the contestants’ performances and the judging panel consists of music mogul Simon Cowell, legendary producer Randy Jackson, and pop icon Paula Abdul. Season 8 will also see the addition of a new judge, singer/songwriter Kara DioGuardi. At the heart of the show is host Ryan Seacrest the hardest working man in entertainment.
Since its debut American Idol has become one of America’s top rated shows. Season 1’s American Idol was Kelly Clarkson who is a pop rock singer, writer and actress. Since her debut on Idols Clarkson became an overnight success with her first three albums selling 9.5 million copies in the U.S and in 2008 she joined VH1’s list of sexiest women of the new millennium. She has also been named among the Top 30 Hottest Rock Front Women.
Using the opportunity to their advantage, it is not only winners that have made a name for themselves; American Idol has also made famous a lot of its other finalists. In season 3, Fantasia Barrino won but Jennifer Hudson, who was a top 10 finalist, has since stolen the spotlight. Hudson co-starred alongside Beyonce Knowles and Eddy Murphy in the runaway hit musical, Dreamgirls, and captured the hearts of audiences, taking Best Supporting Actress in the BAFTA Awards, Golden Globe Awards, Screen Actors Guild Awards and the coveted Oscar Awards in 2006. She released a multi-platinum selling album in 2008 and had a defining moment last month when she took home the Grammy Award for the Best R’n B Album.
Another alumnus that eclipsed the winner was popular rock musician Chris Daughtry in 2006. Showing the makings of an icon, the season 5 finalist went on to record an album which has since earned him a Grammy nomination. His fourth place finish in AMERICAN IDOL earned him a record deal with RCA Records. The record company realized how good an investment they made when the band’s self-titled album sold more than 1 million copies after 5 weeks of release, it went on to become the fastest selling rock album in history and in its ninth week of release, the album reached number one on the BillBoard Charts.
Other winners of the show that have impressed audiences world-wide include big hearted Ruben Studdard in season 2, country crooner Carrie Underwood in season 4, hit sensation Taylor Hicks in season 5 and R’ n B songstress Jordin Sparks in season 6. Spark’s self titled album was certified platinum in 2008, bringing her on par with her predecessors Clarkson and Underwood in terms of success.The winner of season 7, David Cook was announced on May 21 2008. He won the title with a record breaking 56% of the 97.5 million voters. Known for his rock-oriented cover versions which he arranged himself, Cook became the first rocker to win the show.
DStv audiences are invited to tune in as the dreams of hopefuls stand a chance of being fulfilled as M-Net Series screens American Idol from March 4 at 19:00 CAT.

JIDE NA MACHOZI BAND WATAKAMUA HAPO!!

Machozi Band na raha za jumapili huna haja ya kutafuta pa kwenda nenda kapate raha THAI VILLAGE Chole Road Masaki mdau.

BI.YOO BA SOO TEAK ATEMBELEA MAONYESHO YA WAMA!!

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete kulia akiongozana na mgeni wake mke wa katibu mkuu wa umaja wa mataifa Bi. Yoo ba soo teak kwenda kutembelea maonyesho ya wajasiriamali yaliyoandaliwa na Tasisi ya WAMA inayoongozwa na Mama Salma Kikwete na kufanyika katika viwanja vya ofisi hizo.

Mke wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bi Yoo ba soo teak akiangalia bidhaa mbalimbali zilizotengeneza na mjasiriamali Anna Mnzava katika maonyesho yaliyoandaliwa na Tasisi ya WAMA inayoongozwa na mke wa Rais Mama Salma Kikwete anayeonekana nyuma ya mgeni wake katika viwanja vya ofisi hiyo jijini leo.

African Leaders State of Africa Rerport 2008!!

Ambassador Charles R. Stith

(Dar es salaam) – His Excellency Jakaya Kikwete is one of 15 African leaders to be featured in the African Presidential Archives and Research Center’s (APARC) African Leaders State of African Report 2008. The report, in its seventh years, is one of APARC’s core projects and represents a unique perspective on Africa, one that reflects positive development toward democratic and free market reform on the continent by featuring the visions and strategies of democratically elected African heads of state.

Ambassador Charles R. Stith, APARC Director and former U.S Ambassador to Tanzania, will travel to seven African nations in conjunction with the official release of the State of Africa Report 2008. Ambassador Stith will release the State of African Report in Tanzania on February 27. with stops in Berlin, London, Botswana, Cape Verde, Mauritius, Mozambique, South Africa, Tanzania and Zambia, Ambassador stith hopes to increase awareness of successful democratic and economic growth initiatives on the continent.

Since its inception in 2002, every element of the Report, from its purpose to its design, has received accolades in the West and on the continent. In a continued effort to ensure that the African point of view is widely disseminated to investors, those who influence U.S. policy towards the African continent, and future generations of African leadership, APARC has to date distributed over 14,000 copies of the first six editions of the Report to international politicians and policy makers, major media outlets, NGO’s and foundations concerned with Africa, African Embassies, major universities, and African heads of state.

This year, the participating African countries include: Benin, Botswana, Cape Verde, Ghana, Kenya, Liberia, Malawi, Mali, Mauritius, Mozambique, Namibia, South Africa, Tanzania, and Zambia. The leaders of these countries were invited to this Report because of their marked commitment to democracy and free-market reform.

The African Leaders state of Africa Report is an initiative of the African Presidential Archives and Research Center (APARC) at Boston University and is funded by the United states Agency for International Development (USAID). APARC has taken an unprecedented approach to studying democratization and free-market reform in Africa. Through a residency program for former democratically elected African leaders. APARC provides a forum for sharing the insights and expertise of past and present leaders. APARC is also intended to serve as a setting for policy debates and deliberations on democratization and free market reform in Africa.

AFRICAN PRESIDENTIAL ARCHIVES AND RESEARCH CENTER

African Leaders’ State of Africa Report 2008 Highlights

Governance

In a context of global crisis two words define the political situation of the countries feature in this year’s report – change and resilience.
The unity government in Kenya has proven to be the solution to last year’s selection crisis, which encapsulates change. That Kenya remains on the list of Africa’s viable democracies is reflection of resilience.
In his contribution to this year’s State of Africa Report, Ghanaian President John Kufour wrote confidentially of country about to enter its fifth cycle of Presidential elections. That confidence has been borne out in another peaceful transition of power in Ghana.
Tanzanian President Jakaya Kikwete reflects on the challenges of managing the union of Zanzibar and the Republic, while equally confident that the spirit of umoja (unity) that has characterized this union from the beginning will define that relationship into the future.

In his letter to the nation, South African President Kgalema Motlanthe assures the nation that despite the unanticipated change in leadership, south Africa’s democracy is alive and well, in both in spirit and constitutionally.
In his last contribution to the African Leaders’ State of Africa Report, the late Levi Mwanawasa, President of Zambia, offered a fitting summary to where the continent is politically and economically. His insight proves to be a fitting epitaph for one of Africa’s most capable leaders. He wrote, “even where progress is modest, we must still recognize it because it signals that, at least for now, the worst may be over if we continue to make the progress that we have been making.”
Investment and Development
Botswana
The Citizen Entrepreneurial Development Agency has so far approved 177 projects valued at P124 million ($16,020,807) in the current financial year; bringing the total number of projects financed through the programme to 2,229 at a total value P 1.27 billion ($164,084,074). These have already crated 12,567 new jobs.
Ghana
The successful and spectacular issuance of a Eurobond on the London Stock Exchange to raise $ 750 million for infrastructure development was over subscribed by over $ 3 billion, and this was Ghana’s first attempt ever on the market.
Liberia
This year witnessed a significant increase in the number of investors seeking investment initiatives through the National Investment Commission (among which) included $ 30 million from noted African American Robert Johnson.
Mozambique
The arrival of nearly 771,000 tourists and an increase in lodging capacity by 17,000 beds (translated into) the collection of receipts on the order of $163 million, which corresponds to a growth rate of seventeen percent. (This has meant) the creation of more than 37,000 new jobs fifty percent of which are occupied by women.
Namibia
The National Housing Enterprise (NHE) in 2006 – 2007, more than N$30 million was invested in the construction of new homes. For 2007 – 2008 period, an amount of about $N76.2 million wa budgeted to build 700 new homes.
South Africa
In the programme to provide sustainable human settlements (South Africa) is now able to provide 260,000 housing units per annum, and an agreement has been reached with the South African Local Government Association to place a moratorium on the sale of land that can be availed for the housing programme.

TANZANIA YAUTANGAZA VYEMA UTALII WAKE NCHINI MAREKANI!!

Picha ya pamoja ya ujumbe uliowakilisha Tanzania katika Maonyesho ya "The New York Time Travel Show" yaliyofanyika marekani mwanzoni mwa mwezi huu kuanzia kushoto ni M. Adam kutoka Zara Tanzania Adventure Tours, E. Lomayani kutoka Ngorongoro, Karen wa Bradford GroupUSA, K. Hoffman,S Brinnitza na C. Chan wa Bradford Group USA M. Carneiro kutoka Easy Tours, S. Lelo Ngorongoro, V. Maltman kutoka Zara Tanzania Adventure Tours Canada Geofrey Meena kutoka Bodi ya Utalii TTB na C. Chikoti wa Ngorongoro. kwa picha na habari zaidi shuka chini.
Baadhi ya watu waliohudhuria kwenye maonyesho hayo wakipita na kuangalia bidhaa mbalimbali na kupata maelezo katika Banda la Tanzania.

Wageni waalikwa wengine wakifurahi na kucheza muziki wa asili ya Tanzania.

Kulia ni dada Varelie Maltiman na Mariam Adam kutoka Tanzania wakicheza ngoma za asili ya Tanzania lwenye sherehe maalum za kutangaza vivutio vya Tanzania iliyofanyika wakati wa maonyesho hayo.

Tanzania kwa mara nyingine tena imeshiriki kwenye maonyesho makubwa ya Utalii hivi karibuni yaliyofanyika katika jiji la New York yaloyojulikana kama "The New York time travel show".
Maonyesho haya yalishirikisha nchi nyingi na yalifanyika kwenye jumba kubwa linalojulikana kwa jina la Jacob Javids Senta wa zamani wa jiji hilo la New York.
Tanzania iliwakilishwa na maafisa mbalimbali kutoka Bodi ya Utalii TTB, Ngorongoro na makampuni binafsi yanayofanya kazi ya kuhudumia watalii, bodi ya utalii iliwakilishwa na Meneja masoko wa bodi hiyo Bw. Godfrey Meena wakati ngorongoro iliwakilshwa na C. Chikoti na E. Lomoyani, S Lelo na wawakilishi wa bodi hiyo ambao wako nchini Marekani (Bradford Group).
Kwa upande wa sekta binafsi wawakilishi walitoka makampuni mbalimbali kama vile Easy Travel Tours M. Carneiro, M Gullamhussein S. Hilji, Zara Tanzania Adventure M. Adam, V Maltman, kutoka kampuni ya Nunuri Safari Company iliwakilishwa na J. Malago.

Maonyesho hayo yalifanyika kuanzia tarehe 5-8 February 2009 ambapo marekani ni nchi ambayo imekuwa ikileta watalii kwa wingi nchini Tanzania kuanzia mwaka 2007 na ripoti ya hivi karibuni kutoka kwa makampuni yanayoendesha biashara ya Utalii chini imeonyesha kuwa pamaoja ta matatizo ya kuanguka kwa uchumi katika soko la kimataifa ambayo yameikumba pia Marekani lakini watalii kutoka nchini humo wanaokuja nchini wameongezeka mara dufu na wanapenda zaidi kuja kutembelea utalii waTanzania hii ni habari njema jamani sana wadau FULLSHANGWE inaitakia mafanikoa mema Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja bodi ya Utalii nchini kwa mikakati yao ya kuboresha huduma za utalii nchini na kutangaza vivutio vilivyopo nchini tuko pamoja katika kufanikisha hilo.

BAN KI MOON ATETA NA JAKAYA!!

Rais Jakaya kikwete akiwa katika picha ya pamoja na katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban ki moon Ikulu jana wakati walipofanya mazungumzo yao.
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban ki moon akipungia mkono umati wa watu waliokwenda kumpokea wakati alipowasiri jana kwenye uwanja wandege wa Malimu Julius K. Nyerere, Ki moon atakuwa na ziara ya siku mbili nchini.


BAN KI MOON ATUA BONGO!!


Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon ametua leo nyakati za mchana katika uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, katika ziara hiyo hapa nchini kiongozi huyo wa umoja wa mataifa pamoja na shughuli zingine Ban Ki Moon anatarajiwa kuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Kikwete Ikulu.

Zain Management Forum yafanyika jijini!!

Mkurugenzi wa Ukaguzi na Uchunguzi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAO), Bw. Joseph Sheffu akifafanua jambo wakati wa kujadili mada ya thamani ya fedha katika ukaguzi kwenye jukwaa la viongozi (Management Forum) linalodhaminiwa na kampuni ya simu selula ya Zain kwenye ukumbi wa British Council, Dar es Salaam juzi (Februari 25, 2009). Zain imedhamini Management Forum kwa sh. milioni 30 kwa mwaka.
Meneja Mradi wa British Council, Bi. Navonaeli Kaniki akikabidhi chetu cha shukrani kwa Mkurugenzi wa Ukaguzi na Uchunguzi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAO), Bw. Joseph Sheffu baada ya kutoa mada ya thamani ya fedha katika ukaguzi kwenye jukwaa la viongozi (Management Forum) linalodhaminiwa na kampuni ya simu selula ya Zain kwenye ukumbi wa British Council, Dar es Salaam juzi (Februari 25, 2009).



POMBE NI TAMU LAKINI PIA NI MATESO USIPOKUWA MAKINI!!

Jamaa huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwekwa kwenye machela mara baada ya kufikishwa katika hospitali ya Temeke kwa matibabu huku akivuja damu kwa wingi kutokana na majeraha , mtu huyu ameletwa hospitalini hapo leo na polisi akiwa na majeraha makubwa ambayo inadaiwa amepigwa na kuumizwa na katika ulevi wa pombe.

VODACOM FOUNDATION DAY YAADHIMISHWA KWA KUMWAGA MISAADA MAHOSPITALINI!!

Mganga mkuu Hospitali ya Temeke Dk. Asha O. Mahita akipokea msaada wa kitanda kwa ajili ya kujifungulia akina mama wajawazito na mashuka kutoka kwa Gaudensi Ansi mkuu wa kitengo cha mauzo kampuni ya Vodacom leo, Vodacom imetembelea Hospitali mbalimbali za wilaya jijini na kutoa misaada katika kuadhimisha siku ya Vodacom Foudation, wanaoshuhudia tukio hilo kutoka kulia ni Chriss Blackburn mkuu wa kanda ya Mashariki Vodacom,Imelda Thomas Muuguzi mkuu magonjwa ya nje Hospitali ya Temeke na Mwamvua Mlangwa meneja uhusiano Vodacom kwa picha zaidi shuka chini mdau upate uhondo.
Mohamed Karambo wa Vodacom hakuwa nyuma naye alishirikiana na wenzake katika kutoa zawadi kwa wagonjwa mbalimbali ambao ni akina mama wajawazito.
Dada Stella Ndosi akiwa amembeba mtoto mchanga aliyezaliwa katika hospitali ya Temeke huku akimuangalia wanaomwangalia mtoto katika picha kutoka kulia ni mfanyakazi wa Vodacom Agness Msaki,Sister Mashauri wa hospitali hiyo na Mwamvua Mlangwa meneja uhusiano Vodacom.

Jamani kulea kuzuri! kama unavyomuona dada Agness Msaki wa Idara ya fedha katika kampuni ya Vodacom akimlaza mtoto mchanga ambaye amezaliwa katika hospitali ya Temeke wakati kampuni ya Vodacom ilipotembelea hospitalini hapo na kutoa msaada wa kitanda cha kujifungulia akina mama wajawazito na mashuka katika kuadhimisha siku yao ya Vodacom Foundationa.




KLYINN KUWASHTUA MASHABIKI WAKE!!

Mwanamuziki Jaquiline Ntuyabaliwe aka Klyinn hivi sasa yuko Studio za 41 Records akirekodi albam yake ya tatu ambayo hakutaka kuitaja wala kutaja nyimbo zake isipokuwa amesema itakuwa ni ya kushtukiza kwa mashabiki wake.
Klyinn aliipasha FULLSHANGWE kuwa mpango wake ni kurekodi albam hiyo hapa nchini na kule ulaya nchini Uingereza ambapo producer Farouk anayefanya kazi zake huko ndiye atakayefanya kazi hiyo, kwani kwa sasa wakati anaendelea kurekodi hapa nyumbani katika studio za 41 Records Producer Farouk yeye anaendelea kuweka mambo sawa mara atakapokuwa amekamilisha maandalizi mimi nitaelekea huko kwa ajili ya kurekodi nyimbo zingine nchini humo.
Ameongeza kuwa kazi kubwa aliyonayo mwaka huu kwenye programu yake ni kuandaa hiyo albam hivyo atatumia muda mwingi kushughulikia kazi hiyo mpaka atakapokuwa amekamilisha kurekodi lakini pia ameongeza kuwa anataka kuonyesha ubora zaidi katika kazi yake ya sasa ambayo ana imani itakuwa ni zaidi ya albam zilizopita.
Mwanamuziki huyo mwaka akiibuka mwaka 2007 na kutamba na albam yake ya kwanza iliyoitwa Crazy over you na mwaka uliofuata 2008 akatoka na albam nyingine ambayo iliwachengua mashabiki wengi wa muziki wa Bongo Fleva iliyokuwa ikiitwa Nalia kwa furaha. kaeni mkao wa kula wadau ngoja tusubiri.

MBUNIFU FATMA AMOUR AJA NA KAKAKUONA!!, "UNAVYOVAA NDIYO ULIVYO"

Mbunifu Fatma Amour akizungumza na wanahabari kwenye ukumbi wa idara ya Habari Maelezo leo kuelezea maandalizi ya onyesho lake linalojulikana kwa jina la Kakakuona ambalo litakuwa na ujumbe usemao "Unavyovaa ndivyo Ulivyo" litakalofanyika Machi 7 ambayo inakuwa ni siku ya wanawake Duniani ambayo husherehekewa kila mwaka onyesho hilo litafanyika kwenye ukumbi wa Dar Live uliopo Mikocheni jijini.
Katika onyesho hilo kutakuwepo na Burudani mbalimbali kutoka kwa msanii kutoka Arusha Angeris, Simba Arts, Exel Music Band na Lips Entertainment, Wabunifu watakaoonyesha mavazi yao ni Gabriel Saktamole mavazi ya kimasai, Ras Mizizi mavazi ya Kiafrika na Fatma Amour mwenyewe atakayeonyesha mavazi mbalimbali aliyoyabuni ambapo kiingilio katika onyesho hilo kitakuwa 20.000.
Onyesho hilo limedhaminiwa na jarida la Exel, Dollywood, DTP, Vayle Spring JD Entertainment,Aqua Well Drill, Clouds Fm, Easy Finance,British Council Sofia Prodution na CXC Tours, katika picha aliyekaa kushoto ni mbunifu Gabriel Saktamole na nyuma ni wanamitindo kutoka Dollywood watakaoonyesha mavazi siku hiyo kwa picha zaidi shuka chini upate uhondo zaidi mdau.
Vazi hili limebuniwa na Ras Mizizi ambaye pia atashiriki kuonyesha uwezo wake katika kubuni mavazi ya kiafrika kama unavyoliona.

Hili vazi limebuniwa na mbunifu Fatma Amour ambaye ndiyo muandaaji wa Onyesha la mavazi linajulika kwa jina la Kakakuona litalkalofanyika tarehe 7 mwezi machi kwenye ukumbi wa Dar Live Mikocheni jijini.

mwanamitindo huyu akionyesha vazi la kiamsai lilibuniwa na Gabriel Saktamole kutoka Arusha.

Angeris akiimba akapera ya moja ya nyimbo zake ambazo ameziimba inayoitwa wewe leo katika mkutano na wanahabari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari maelezo huku mmoja wa waratibu wa onyesho la mavazi la kakauona Asma Makau akifurahia kwa pembeni.


waonyesha mitindo wakiwa wamevaa baadhi ya nguo za wabunifu Gabriel Saktamole, Fatma Amour na Ras Mizizi.

Kinda Chipukizi la muziki wa kizazi kipya lililoibuliwa na Bongo Star Search lilikiwa katika pozik si mwaingine huyu ni Angeris kutoka Arusha ambaye kwa sasa ana single zake mbili zinazokwenda kwa jina la wewe na myBoo. Msanii huyu atatoa burudani katika onyesho mavazi la kakakuona


EWURA, TANESCO NA WADAU WAJADILI MRADI WA UMEME VIJIJINI!!


Mkurugenzi wa Umeme wa EWURA Eng. Anastas Mbawala akiwafafanulia baadhi ya mambo waandishi wa habari waliohudhuria mkutano kati ya Ewura, Tanesco, wawekezaji na wadau mbalimbali uliojadili mradi wa umeme vijijini kuhusu bei, uwekezaji na jinsi ya kupata mikopo na kanuni zake unaofanyika leo kwenye Hoteli ya New Africa jijini mkutano huo umeandaliwa na Ewura.

TOUR OPERATORS REPORT BOOM IN TANZANIA BOOKINGS BUSINESS FROM U.S BRISK AND PREDICTED TO GROW!!.



The year 2009 is ushering in brisk business for tour operators booking safaris to Tanzania, the largest country in east Africa .

Peter Mwenguo, Managing Director, Tanzania Tourist Board, concludes “in a year when people are conscious about cost / value, Tanzania offers an excellent travel experience where the dollar buys much more than is available in other countries. America is Tanzania’s number one source for tourism and we are encouraged by the positive feedback we have received that this growth will continue even during a challenging economic climate.”

Jo Bertone, USA Director of Naipenda Safaris, has seen no evidence of a travel slowdown when it comes to Tanzania. “While the media was filled with doom and gloom for the past few months about the U.S economy in general, she says, “right after the elections and the holidays we resumed normal-if not higher-quote requests on booking to Tanzania. People see that the sky isn’t falling, they know that Tanzania is a beautiful and peaceful country (we have never had a problem in any part of Tanzania),and they’re ready again for a good travel experience.’’

In fact, in an article written for USA Today (U.S is the highest circulation national daily newspaper) In December,2008,Marc noting Africa Adventure Company cites Tanzania as ‘’One of the Top Two Safari destinations in the World.’’ He added ‘’Business the first two weeks of the New Year has been GREAT”.

Kenneth Herbert, founder and president of New York based 2aAfrica,as a guest on voice of America(January 12)told listeners that “the price structure in Tanzania now, combined with its beauty, make it the must-go-to destination this year .Take advantage of its good deals while you can!”. At his company, ’’Tanzania is without question my best seller at the moment. I am turning them out a dime a dozen.’ He adds that “Tanzania still remains so popular that Arthur
Framer’s budget Travel Magazine is running it AGAIN in the March issue under the the 40 BEST DEALS.’’

In a Steinhiler, Director of sales and Marketing, at the Boston-based Thompson safaris, notes that their sales of safari packages to Tanzania are also brisk. “No one is canceling or postponing for economic reasons. Were more than pleased,’’ s he comments. “People aren’t putting their lives on hold.’’

At safari ventures based in Florida, Rumit Mehta, Director of Business Development in New York City, feels that many Americans are fulfilling a dream in keeping and/or creating travel plans to Tanzania. ’’In the last five or so years, safari Ventures has seen a steady growth of clients from business schools and universities who are interested in the intellectual and cultural heritage of Tanzania. There are more than enough value-added hotels, safaris and other attractions to keep them booking this.’’
Lynn Newby-Fraser of Africa Dream Safaris says “Despite the economic gloom there still seems to be people who are looking for a trip-of-a-lifetime and interestingly they’re looking to Tanzania for the experience. Our bookings for the 1st week of January 2009 are double what they were in 2008 and our website traffic is also up substantially. I think that people are beginning to recognize that the Serengeti is not only the undisputed champion for wildlife viewing and that the overall quality of safari available to them in Tanzania is nothing short of superb. I think that people just need to look at the 2009 Worlds’ Best Safari Outfitters as voted by National
Geographic Adventures, and see that three of the top ten Outfitters-Africa Dream Safaris being one-focus specifically on Tanzania. That’s a high percentage and says a lot about what the country and its operators have to offer tourists!’’

Kent Redding of Adventures in Africa state “I think bookings are starting to pick up in 2009.From our standpoint, we are cautiously optimistic that I’ve hired a Director of sales and Marketing, and am increasing marketing activities such as the New York Times Travel Show, and more.’’

Amant Macha Director of Marketing Tanzania tourist Board, confirms that they expect to hold and/or increase market share in 2009 as a result of “the increase in hi-end accommodations to meet the demand of the luxury travel segment and improved air access combined with ongoing advertising on CNN and other U.S. media.’’

PATRICK PHIRI AENDELEA KUTOA DOZI KWA WACHEZAJI WAKE!!

Kocha mkuu wa timu ya simba Patrick Phiri kushoto akiwa na meneja msaidizi wa timu ya simba na mchezaji wa zamani wa timu hiyo Amri Said wakati timu hiyo ilipokuwa katika mazoezi jana katika uwanja wa Kinesi Ubungo Urafiki kwa ajili ya kujiandaa na michezo ya ligi kuu ya Vodacom iliyobaki
Kocha mkuu wa Simba Sports Club mzambia Patrick Phiri akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati timu hiyo ilipokuwa ikijifua jana jioni katika uwanja wa Kinesi uliopo Ubungo Urafiki, simba kwa sasa inajiandaa na michezo yake ya ligi kuu ya Vodacom iliyobakia na inapigania kufa na kupona angalau ipate nafasi ya pili kwani kutokana na msimamo wa ligi Yanga ndiyo wanaoelekea kuchukua ubingwa kwa mwaka huu huku timu za simba na kagera zikigombea kupata nafasi ya pili.


VIPENGERE 20 VYA KILI MUSIC AWARD VITAKAVYOPIGIWA KURA KUWAPATA WASHIRIKI VYATANGAZWA!!

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Oscar Shelukindo akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jana wakati wa kutangaza jinsi ya kumpendekeza mwanamuziki anayekuvutia katika Tuzo za 2009 Kili Music Awards jijini Dar es alaam kulia ni mwenyekiti wa Tuzo hizo John Muhina.
Oscar Shelukindo kushoto Meneja wa kinywaji cha Kilmanjaro akikabidhiana nyaraka na mwenyekiti wa baraza la sanaa (BASATA) Bw. Frowin Nyoni katika kufanikisha tuzo za Kilimanjaro Music Award katikati ni mwenyekiti wa Tuzo za Kilimanjaro Music Award John Muhina picha hii ilipigwa mwaka juzi, na katika kuhakikisha maandalizi ya tuzo hizo yanakwenda sawia katika mwaka huu 2009 jana katika mgahawa wa Hadees uliopo mtaa wa Azikiwe waandaji hao wa kilimanjaro Music Award walitangaza Vipengere vipatavyo 20 vitakavyopigiwa kura ili kuwapata washiriki watakaoshindanishwa katika Tuzo za mwaka huu alisema Oscar Shelukindo, FULLSHANGWE inawatakia maandalizi mema wandaaji wa tuzo hizo sisi kama wadau tuko nyuma yenu.

RAIS WA TBF AMTEMBELEA MPAMBANAJI ATHUMAN HAMISI!!

"Nilimtembelea Athuman Hamisi juzi hali yake nzuri ametoka ICU, sasa yuko wodi ya kawaidwa anaweza kunyanyua mikono ila miguu bado kidogo, kwa ujumla hali yake poa na inaendelea vyema" Mdau Richard Kasesela akiwa na mpambanaji Athuman Hamisi alipomtembelea h
ospitalini alikolazwa kwa matibabu nchini Afrika ya Kusini.

BARCELONA KUJA TANZANIA?

Zantel kuileta Barcelona Tanzania?.
Zaingia mkataba wa miaka minne

Timu ya soka Barcelona FC ya Hispania huenda ikatembelea nchini wakati wowote kutokana na kuingia mkataba na kampuni ya simu za mkononi ya Etisalat ambayo ni kampuni mama ya Zantel inayofanya shughuli zake nchini.Etisalat imeingia mkataba wa miaka minne na Barcelona ambapo kampuni hiyo ya mawasiliano ndio itakuwa ‘Official Commmunication Patner’ katika nchi zote ambazo zinafanya kazi.Taarifa iliyotolewa na kampuni ya Zantel nchini imesema mkataba huo ambao umesainiwa juzi mjini Abu Dhabi, Oman Etisalat ina uwezo wa kuiandalia Barcelona mechi za kirafiki za kimataifa na timu ambazo zitachaguliwa na Etisalat.Mwenyekiti wa Etisalat, Mohammad Omran alisema mpira wa miguu unawakilisha kufanya kazi pamoja, uongozi, mvuto na umoja.“Etisalat imekuwa mshirika mkubwa wa mpira wa miguu na sasa imeamua kuwawashirika wa Barcelona, tunaamini kuwa soka inaweza kuwa njia sahihikuleta mabadiliko kwenye jamii, kuwaleta watu pamoja na kujenga uhusianona urafiki,” alisema.Kwa upande wake Rais wa Barcelona, Joan Laporta Estruch alisema lengo la timu yao ni kuwa na uwakilishi dunia nzima.“Lengo letu ni kuwa na uwakilishi kila sehemu, Africa, Mashariki ya Kati na Asia, hii ndio sababu klabu yetu imeamua kuingia mkataba na Etisalat moja kati ya kampuni kubwa zaidi ya mawasiliano duniani, tunatarajiakufanya kazi vyema na Etisalat kwa faida ya pande zote mbili,” alisema.

Mkataba huo unaonekana utawanufaisha zaidi ya wateja milioni 80 wa Etisalat katika nchi 18 ambazo kampuni hiyo inafanya shughuli zake duniani. Wateja wa Zantel nchini wanaweza kupata taarifa mbalimbali za Barcelona kupitia simu zao na mitandao iliyo chini ya kampuni hiyo.Etisalat inadhamini ligi ya Brazilin na UAE ambapo hapa nchini inadhamini ligi ya soka Zanzibar kupitia Zanzibar ambapo pia imedhamini tamasha laSauti za Busara.

TANZANIA FLAVOUR UNITY YAANZISHWA!!

Menyekiti wa Tanzania Flavour Unity Lady Jay Dee kulia akiwa na katibu wake Banana Zorro


Shirikisho la wanamuziki wa muziki wa kizazi kipya yaani Bongofleva linaloitwa (Tanzania Flavour Unity) limeanzishwa na tayari limekwishapata viongozi wake katika mkutano uliofanyika wiki hii siku ya jumatano katika viwanja vya Leaders Club ambapo mkutano huo uliratibiwa na mmoja wa wadau wakubwa wa muziki Ruge Mutahaba wa Radio Clouds.

Akizungumza na Tovuti ya FULLSHANGWE katibu mkuu wa shirikisho hilo ambaye amechaguliwa kwa sasa mwanamuziki na kiongozi wa bendi ya B. Band Banana Zorro, amesema mkutano wao ulifanyika vizuri na ulihudhuriwa na wanamuziki kadhaa walioitikia wito wa mkutano huo na kwa kuanzia wajumbe wa mkutano huo walichagua viongozi watakaoongoza shirikisho hilo kwa sasa.

Aliwataja viongozi waliochaguliwa na kuongoza shirikisho hilo na vyeo vyao kuwa ni Lady Jay dee ambaye alichaguliwa kuwa Mwenyekiti, TID alichaguliwa kuwa makamu mwenyekiti, Banana Zorro alichaguliwa kuwa Katibu mkuu, Jay Moe alichaguliwa kuwa Msemaji wa shirikisho hilo, amesema katika mkutano huo waliazimia kufanya vikao kila wiki ili kuhakikisha kuwa mipango yao inakwenda kama ilivyotarajiwa.

Banana alisema lengo la kuunda shirikisho hilo ni kutekeleza baadhi ya mambo ambayo yanatakiwa kufanywa na shirikisho hilo ili kujiweka sawa kwa ajili ya kupokea msaada mkubwa ambao Mh. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ambaye wanamchukulia kama mfadhili wao mkubwa aliahidi kuwasaidia wanamuziki wa muziki wa kizazi kipya ambapo aliahidi kujenga (Mastaring Studio) kubwa ya kisasa kwa ajili ya kufanyia muziki huo Mastaring hapahapa nyumbani ili uweze kuendana na soko la kimataifa.

Rais Jakaya Kikwete aliahidi kuwajengea Mastaring studio hiyo ya kisasa na ya kimataifa yenye viwango vya hali ya juu hapa nyumbani wasanii wa muziki wa kizazi kipya alipokuwa akitoa hotuba yake wakati alipoalikwa katika sherehe ya kikundi cha THT kutimiza miaka miwili hivi karibuni iliyofanyika kwenye ukumbi wa Karimjee.

FULLSHANGWE inampongeza Mh. Rais Jakaya Kikwete kwa ahadi hiyo kwani wakati Mastaring studio hiyo itakapojengwa hapa nchini itachochea maendeleo ya muziki kwa wasanii wetu hapa nyumbani ili kujiweka sawa katika kuingia kwenye soko la muziki la kimataifa kama walivyo wanamuziki katika nchi nyingine zilizoendelea lakini pia itachochea maendeleo ya muziki katika ukanda huu wa Afrika Mashariki tunakupa heko Mh. Rais JK..

KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA MADOLA AKUTANA NA JK.

Rais Jakaya kikwete akimkaribisha katibu mkuu wa Jumuiya ya Madola Bwana Kamlesh Sharma na mkewe Barbil Sharma leo Ikulu wakati kiongozi huyo alipomtembelea na kuzungumza naye.

MIKUTANO YA KIMATAIFA YA KUENDELEZA WELEDI KATIKA UTUMISHI WA UMMA KUFANYIKA TANZANIA!!.

Na Aron Msigwa - MAELEZO Dar es salaam,

Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mikutano miwili ya kimataifa itakayofanyika hivi karibuni kujadili sekta ya utumishi wa umma na usimamizi wa rasilimali watu. Akitoa ufafanuzi kuhusu mikutano hiyo leo jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa Uendelezaji rasilimali watu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dr. Faiser Issa amesema kuwa mikutano hiyo inalenga kujadili maboresho katika sekta ya umma na uendelezaji wa weledi katika usimamizi wa utumishi wa umma (Professionalism).

Akizungumza kuhusu mkutano wa kwanza utakaoanza tarehe 23 hadi 27 mwezi huu Dr. Faiser amesema kuwa pamoja na mambo mengine washiriki watajadili suala la maboresho katika sekta ya utumishi na uandaaji wa rasilimali watu barani Afrika ikiwa ni pamoja na kuwa na jitihada za kuwajengea uwezo wa mameneja wasimamizi wa rasilimali watu kupambana na changamoto zinazowakabili katika utumishi wa umma barani Afrika na mikakati ya kupambana nazo.

Ameongeza kuwa licha ya mkutano huo wa kwanza kuwa na washiriki wengi Tanzania itapata faida kubwa kutokana na mkutano huo kuwa na changamoto mbalimbali za maboresho na pia kujifunza na kupata uzoefu kutoka katika nchi nyingine. “Uzoefu ambao uko kwenye nchi nyingine kuhusu utumishi wa umma utaweza kutufikia sisi watanzania na pia kwa watakaoshiriki mikutano hii, ni sehemu ya mipangilio ya kitaifa ya kuwaendeleza viongozi” amesema.

Akitoa ufafanuzi kuhusu mkutano wa pili utakaoanza tarehe 2 hadi 5 mwezi ujao Dr. Faiser amesema kuwa mada kuu itakuwa ni Utawala Bora na Usimamizi rasilimali Watu. Pia washiriki katika mkutano huo ambao ni watendaji wakuu katika utumishi wa umma na watumishi wanaoshughulikia taaluma ya rasilimali watu watapata fursa ya kuchambua kwa kina mfumo wa matumizi ya ajira inayofuata sifa katika maeneo yenye maamuzi mengi na kujadili faida na matatizo ya kila mfumo.

Mkutano huo wa kwanza ambao mgeni rasmi atakuwa Makamu wa Rais Dkt. Ali Mohamed Shein utagharimiwa na Idara ya umoja wa mataifa inayoshughulikia uchumi na maendeleo ya kijamii wakati mkutano wa pili ambao mgeni rasmi atakuwa waziri mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh: Mizengo Pinda utafadhiriwa na Umoja wa Jumuiya ya madola wa wanataaluma wa utawala na Menejimenti (The Commonwealth Association for Public Administration).

AH JAMANI USINGIZI NI POPOTE?


Hapa ni kama anasema "Mh. kwangu mimi popote ni kitanda naweza kulala na usingizi wangu ukaisha", Camera ya FULLSHANGWE ilimnasa jamaa huyu ambaye hakufahamika jina lake mara moja akiwa emeuchapa usingizi juu ya buti la gari kandokando ya Benki ya Posta tawi la Metropolitan mtaa wa Azikiwe hebu icheki hiyo mdau.

RAIS JAKAYA AKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA VIWANDA BIASHARA NA MASOKO IKULU!!


Katika uendelezaji wa Mh. Rais Jakaya Mrisho kikwete kukutana na viongozi wa wizara mbalimbali leo amekutana na uongozi wa wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko pamoja na taasisi zake Ikulu na kuzungumza nao.

Zain Golf Fiddle yaendelea Lugalo!!

Mkuu wa Majeshi wa zamani, Jenerali mstaafu, Gideon Sayore akitazama mpira baada ya kuupiga Dar es Salaam jana (Alhamisi Februari 19, 2009) wakati wa mashindano ya gofu ya Lugalo Zain Fiddle yanayorindima kila Alhamisi katika viwanja vya TPDF Lugalo, Dar es Salaam.

USS Bradley to Visit Tanzania-Lieutenant Colonel Timothy Mitchell.

From Right Lt. Col. Timoth Mitchel Us Defense Attache,Larry E. Andre Jr. Charge d' Affaires and Jeffrey A. Salaiz First Secretary Public Affairs

First, I’d like to say that during my first month living in your beautiful country-almost 18 months ago in Sept 2007- I sat before a similar audience and discussed the first ever U.S ship visit to Tanzania – the visit of USS Forrest Sherman. It’s now with great pride that I have the honor to once again speak to you about a U.S. naval ship visit to Tanzania.

As the Charg’e mentioned, USS Robert G. Bradley’s visit to Tanzania demonstrates the U.S commitment to African maritime safety and security. The USS Bradley is coming to Tanzania after spending a week in Mozambique. After spending a week or so in Dar es Salaam, the ship will travel on to Kenya and later to Djibouti. During its port stops USS Robert G. Bradley will focus on building cooperative partnerships with regional maritime services to achieve common international goals such as stability and security along the African coast.

In numerous recent conferences on sea power and maritime concerns-including one that took place here in Tanzania in April 2008-our partner nations in Africa expressed a need and desire for improved maritime safety and security. The visit of USS Robert G. Bradley represents a step by the U.S. to respond to this request for assistance in dealing with maritime challenges such as unlawful fishing, piracy and illegal trafficking.

During its stay in Dar es salaam the crew of USS Robert G. Bradley will engage in both training and social events with the TPDF navy. The training will consist of four days of specific skills training with TPDF sailors. The training will be conducted both on USS Robert G. Bradley and in a classroom environment, and will cover areas such as visit, board, search and seizure (VBSS) training, small boat operations and maintenance, damage control procedures and naval watch officer training. The intent is that working and training alongside partner nation civil and military services will improve interoperability while providing opportunities to build critical personal relationships across borders and services. It is important to emphasize that while the ship visit imparts expertise to east Africa partner nations to improve professional maritime knowledge and skills, it is a two-way exchange of expertise-our naval personnel will also learn from their Tanzania counterparts.
Other than training, while in port the ship will host an on-board evening reception and will host several ship tours for TPDF personnel, diplomats, and Tanzanian government officials and local businessmen. The crew will also participate in a social event at the TPDF Naval base and will participate in both football (soccer) and basketball sporting events with the TPDF. The crew will also provide some refurbishment and maintenance at a local orphanage. Finally, a U.S Navy band will perform concerts at several venues to include local schools, an orphanage, restaurants and the Dar es salaam Yacht Club.
In closing, I’ d like to add that from my perspective one of the most important aspects of the ship visit is that it provides over 200 U.S. sailors the opportunity to experience what I experience on a daily basis-the beauty of the Tanzanian country and the warmth and hospitality of the Tanzania people. Thank you

NGWEAIR KUMWAGA (NGE 1982) MTAANI KAENI CHONJO!!

Ngweair akipozi na vimwana mbele ya Camera ya FULLSHANGWE katika Hoteli ya Movenpick imetulia hiyo mdau.
Add Image
Msanii wa siku nyingi na mwenye mistari ya kusisimua katika nyimbo zake anayejulika kwa jina la kisanii kama Ngweair amesema wapenzi wamuziki na mashabiki wake kwa ujumla wakae mkao wa kushangweka kutokana na makamuzi aliyoyafanya katika albam yake mpya inayoitwa Nge 1982 ambayo ina nyimbo kumi na tatu.

Ngweair aliyasema hayo wakati akizungumza na Tovuti ya FULLSHANGWE katika Club ya usiku Billicanas wakati alipojimuvuzisha kwenye club hiyo ili kupata shangwe za Serengeti Out of Africa Night hivi karibuni, usiku unaofanyika kila siku ya jumatano na burudani kutolewa na Vijana wa Masauti Akudo Impact.

Ngweair amesema katika albam hiyo kuna nyimbo kama Nipe dili masela ambao umebamba kisawasawa katika anga za Bongofleva, Birthday, 120, Mafia, A.K.A mimi, Bata kila sehemu, Bila muziki, Wanadata, Mapenzi gani, Mwambie ukweli, Singida Dodoma, She Parformes na Maua ya Msujo ambazo amezirekodi katika studio tofauti tofauti.

Msanii huyo machachari amezitaja studio hizo kuwa ni Bongo Records, 41 Records, Heryn B. Records na Kama Kawa Records zote za jijini, katika nyimbo hizo pia ameeleza kuwa amewashirikisha wasanii kadhaa mahiri katika muziki wa bongofleva ambao ni TID, Jay Moe, Bushoke, Lady Jay Dee, na wasanii wa Chemba Squard ambalo ni kundi lake.

Hii itakuwa ni Albam ya pili kwa msanii huyo ambapo albam yake ya kwanza ilikuwa ikiitwa AKA mimi aliyoitoa miaka mitano iliyopita ambayo nayo ilifanya vyema katika soko la muziki wa Bongofleva hivyo kumpatia umaarufu mkubwa na kupata mialiko mingi ya kufanya maonyesho mengi katika maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi.
Ngweair anamalizia kwa kusema matarajio yake ni makubwa katika albam hii mpya ambayo anatarajia kuisambaza katika vituo vya rdio na televisheni kuanzia mwezi wa tatu kwani tayari amefanya pia video za nyimbo mbili Nipe dili na 120 ambao amemshirikisha msanii Chid Benz huku watengenezaji wa video hizo wakiwa Visal Lab Production.

SERENGETI BREWERIES NA NMB WAITAKATISHA TAIFA STARS, WAMWAGA VIFAA VYA MAMILIONI!!

Hii sanamu inaonyesha jinsi unadhifu wa wachezaji wa timu yetu ya taifa Taifa Stars utakavyokuwa watakapokuwa wakisafiri kesho huku wamevalia nguo hizi ambazo zimetolewa na makampuni mawili yanayoidhamini timu hiyo ambayo ni Serengeti Breweries Ltd (SBL)na National Microfinance Bank (NMB)vifaa vya michezo vilivyotolewa na kuikabidhi timu ya taifa ambayo ianondoka kesho kuelekea Ivory Coast ni suti nyeusi, tracksuits, mashati, tai zenye rangi za bendera ya taifa, viatu vya kuchezea na vya kutokea, jezi na bukta, mabegi ya safari, sandals na vifaa vingine vingi, vifaa hivyo kwa ujumla vina thamani ya shilingi milioni 70 ambapo kila kampuni imetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 35. FULLSHANGWE inawashukuru wadhamini hawa wa timu ya taifa kwa kuivalisha vizuri na nina imani huko waendako watatuwakilisha vyema katika mashindano hayo mungu ibatiki Taifa Stars, Mungu ibariki Tanzania Yetu.
Katibu mkuu wa shirikisho la mpira nchini Fredirick Mwakalebela kulia Tedy Mapunda Afisa uhusiano SBL, Shadrack Nsajigwa mchezaji wa timu ya taifa Taifa Stars na Afisa mwanadamizi wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB Imani Kajula kwa pamoja wakizindua rasmi nguo za wachezaji wa timu ya Taifa watakazokuwa wakivaa wanapokuwa safari katika mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani yatakayoanza kutimua vumbi nchini Ivory Coast hivi karibuni.
karibuni makabidhiano yamefanyika leo kwenye Hoteli ya New Africa.

Waziri Ngelleja azungumzia uuzwaji wa kampuni ya madini Williamson Diamonds Limited

Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja akiongea na waandishi wa habari leo kuhusu uuzwaji wa asilimia 75 ya hisa za kampuni ya Williamson Diamonds Limited zinazomilikiwa na Kampuni ya Willcroft Company Limited katika ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo uliopo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kamishna wa Madini Dk. Peter Kafumu akimsikiliza kwa makini.

STARNDARD CHARTERED BANK KUKUSANYA MILIONI 21.1 KILI MARATHON, KUPAMBANA NA UPOFU!!


Benki ya Starndard Chartered imetangaza zawadi kwa washindi watakaoshiriki katika mashindani ya Kilimanjaro Marathon yanayotarajiwa kufanyika tarehe 1 mwezi machi mkoani kilimanjaro, akizungumza mkuu wa masoko ya fedha za nje Bw. Alex Bainbridge amesema jumla ya washiriki waliojiandikisha mpaka sasa ni 50 na zawadi zitakuwa katika makundi matatu ambapo kutakuwa na washiriki watakaokuwa wakishindana kwa kutumia viti maalum(Wheelchair), wengine watatumia baiskeli (Tricycle)na wengine ni walemavu wa viungo wanaoweza kushindana katika mbio hizo bila kutumia vifaa maalum.
Amesema katika makundi hayo zawadi zitatolewa kama ifuatavyo washindi wa kwanza katika makundi yote watapata kitita cha shilingi 300.000 kila mmoja, washindi wa pili watapata shilingi 150.000 washindi wa tatu watapata shilingi 125.000, washindi wa nne watapata shilingi 100.000 washindi wa tano watapata shilingi 75.000 kwa maana hiyo wanawake na wanaume wote katika mbio hizo wataondoka na zawadi ya jumla ya shilingi 4,500.000
Alex Bainbridge mesema benki hiyo imeingia katika udhamini wa Kilimanjaro Marathon ili kufanikisha katika suala la kukusanya fedha kwa ajili ya kusaidia tatizo la upofu kwa watoto katika mradi wa "Seeng is Believing" ambao benki hiyo inashirikiana kwa pamoja na Hospitali ya CCBRT ya jijini.
Ameongeza kuwa katika mbio hizo wanatarajia kukusanya kiasi cha shilingi milioni 21.1 sawa na Dola 16.000 za kimarekani kwa ajili ya kazi hiyo na tayari wameshaanza kukusanya fedha hizo kwa watu mbalimbali wakiwemo wafanyakza wa Benki hiyo, katika picha kutoka kushoto anayeongea na wanahabari ni Lucy Kihwele mkuu wa Idara ya mahusiano, Alex Bainbridge mkuu wa masoko ya fedha za nje Starndard Chartered Bank, Suleiman Nyambui katibu mkuu chama cha Riadha RT na mwisho aliyesimama ni meneja uhusiano Hoyce Temu.