Zain Golf Fiddle yaendelea Lugalo!!

Mkuu wa Majeshi wa zamani, Jenerali mstaafu, Gideon Sayore akitazama mpira baada ya kuupiga Dar es Salaam jana (Alhamisi Februari 19, 2009) wakati wa mashindano ya gofu ya Lugalo Zain Fiddle yanayorindima kila Alhamisi katika viwanja vya TPDF Lugalo, Dar es Salaam.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment