EWURA, TANESCO NA WADAU WAJADILI MRADI WA UMEME VIJIJINI!!


Mkurugenzi wa Umeme wa EWURA Eng. Anastas Mbawala akiwafafanulia baadhi ya mambo waandishi wa habari waliohudhuria mkutano kati ya Ewura, Tanesco, wawekezaji na wadau mbalimbali uliojadili mradi wa umeme vijijini kuhusu bei, uwekezaji na jinsi ya kupata mikopo na kanuni zake unaofanyika leo kwenye Hoteli ya New Africa jijini mkutano huo umeandaliwa na Ewura.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment