BAN KI MOON ATETA NA JAKAYA!!

Rais Jakaya kikwete akiwa katika picha ya pamoja na katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban ki moon Ikulu jana wakati walipofanya mazungumzo yao.
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban ki moon akipungia mkono umati wa watu waliokwenda kumpokea wakati alipowasiri jana kwenye uwanja wandege wa Malimu Julius K. Nyerere, Ki moon atakuwa na ziara ya siku mbili nchini.


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment