BUTI HIZI ZA SHADRACK NSAJIGWA JE? NI KUISHIWA PUMZI AU, KAZI KWAKO MDAU!

Mshambuliaji wa Timu ya Soka ya Manyema, Bendict Ngassa(kulia) akiwa katika hali ngumu baada ya kudhibitiwa na walinzi wa Yanga Shadrac Nsajigwa(katikati) na Vicent Barnabas, wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jana,Yanga ilishinda 3-0.(Picha na Shaaban Mpalule)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment