Bilal Comprehensive wafanya mashindano ya Quran!!

Msenaji wa Kituo cha Ubarozi wa Iran, Mostafa Kanjibar, akifafanua jambo kwa kutumia (masaafu)wakati wa mashindano ya Kusoma Kurani ya Vijana kutoka Vyuo Mbalimbali vya Kiislamu,yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwembe Yanga, Dar es Salaam jana.ikiwa ni kuukaribishamwezi mtukufu wa Ramadhani, masindano hayo yaliandaliwa na Shule ya Kiislamu ya Bilal Comprehensive ya jijini Dar ea salaam,
Mkuu wa Chuo cha Bilali Comprehensive School Siddika Karim akifafaua jambo wakati wa mashindano ya Quran -Tandika


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment