MTANZANIA APATA NAFASI KUSOMEA SHAHADA YA UZAMILI CHINA!!

Balozi Mdogo katika Ubalozi wa China nchini Tanzania FU JIJUN (kulia) jana akimkabidhi fomu ya nafasi ya masomo nchi za nje( skolaship ) Mfanyakazi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Sozy Ngate ( kushoto) katika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam. (katikati ) ni Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari ,Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko. Ngate atakuwa nchini China kwa muda wa mwaka mmoja kusoma Shahada ya Uzamili katika Utawala.
(Picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO) .
Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania (charge d Affaires in the Chines Embassy in Tanzania) FU JIJUN (kulia) akiongea na Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari ,Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko jana katika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi fomu ya nafasi ya masomo ya Shahada ya Uzamili katika UTAWALA , Mfanyakazi wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Makao Makuu Sozy Ngate(hayupo pichani).

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment