Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii yakabidhi vifaa Tiba Dodoma!!

Katibu Mkuu wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii bi. Blandina nyoni amekabidhi vifaa mbalimbali vya tiba katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, makabidhiano hayo yamefanyika juzi mkoani humo na hii ni moja ya mashine ya usingizi iliyokabidhiwa kwa hospitali hiyo
Katibu mkuu Bi Blandina Nyoni akikabidhi moja ya vifaa tiba vinavyotumika kwa ajili ya operesheni ya akina mama wajawazito kwa katibu Tawala wa mkoa wa Dodoma bi. Madenge

Moja ya kitanda kinachotumika kulazia mgonjwa anayehitaji uangalizi wa hali ya juu katika chumba cha watu mahututi(ICU)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment