Baadhi ya wajumbe wakamati ya Utendaji wa chama cha Riadha Tanzania RT wakijadiliana jambo baada ya wafanyakazi wa uanja wa taifa wachina kukataa kufungua milango ya vyumba vilivyopo katika uwanja huo ili waweze kuchukua vifaa vya michezo ambavyo vilikuwa vimehifadhiwa humo.
WACHINA WAGOMEA FUNGUO ZA VYUMBA, MAZOEZI YA RIADHA YACHELEWA KUANZA!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment