Pozi la picha katika tamasha la ZIFF!!

Kutoka kushoto mwanamuziki Rogers Lucas, Mkurugenzi Tamasha la nchi za Jahazi ZIFF Martin Muhando na mwanamuziki Ambwene Yesaya (AY)wakiwa katika pozi baada ya mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika kwenye hoteli ya Al sayyed ya Zanzibar leo trh 12th Julai.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment