Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Bw. Eric Shigongo, akitoa mada katika mkutano wa Diaspora wa nchini Marekani, uliyofanyika kwa muda wa siku nne kuanzia Julai 1-4 katika ukumbi wa Marriott, Minneapolis, nchini Marekani, ambapo mada mbalimbali zilitolewa na Watanzania waishio nchini humo na wakazi wa humo.
ERIC SHIGONGO NA MKUTANO WA DIASPORA MAREKANI!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment