Mmoja wa wajasiliamari wa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro akipokea cheti cha kuhitimu mafunzo ya ujasiriamali. Benki ya Exim iliendesha mafunzo ya wiki moja kwa wanawake wajasiriamali mkoa wa Kilimanjaro , mafunzo hayo ya wiki moja ya Usimamizi wa Fedha na Ujasiriamali yaliyoendeshwa na benki ya Exim yalimalizika juzi wilayani humo
BENKI YA EXIM NA WAJASIRIAMALI MKOANI KILIMANJARO!!
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







0 comments:
Post a Comment