WASHEREHESHAJI (MCS) WAFANYA MKUTANO NA KUJADILI MATATIZO YAO!!

Washereheshaji wakiwa kwenye pozi wakati wa mapumziko mafupi ya mkutano huo. Kutoka kulia ni Adella Ngaya (MC), Mwajuma (mpishi wa keki), Angel Rasta Renza (mpambaji) Prisca Charle (mpambaji).CHAMA cha washereheshaji nchini, Sherehe Arts Association (SAA), kinaendelea na mkutano wake mkuu katika Hoteli ya Lion, Sinza, jijini Dar es Salaam. Wadau wa mkutano huo ambao ni ma-MC, ma-DJ, wapambaji, wapishi, wapiga picha pamoja na washereheshaji wengine, wanajadili maendeleo ya chama chao ikiwa ni pamoja na kufungua chama cha kuweka na kukopa (SACCOS). Picha kwa hisani ya
http://www.globalpublishers.com
Wajumbe mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment