TAX ZOTE JIJINI DAR ES SALAAM KUHAKIKIWA!!

Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Teksi nchini Tunawajali Group Bw. Abeid Chenbe akionyesha cheti chao cha usajili kutoka BRELA wakati alipokuwa akizungumza na waandiishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo kuhusu mpango wao wa uhakiki wa teksi nchini unaoanza kesho tarehe 1 Julai ambapo teksi zote zitakaguliwa ubora na kisha zitalipiwa kodi zake na kuwekewa stika yenye picha ya teksi iliyoandikwa
(Teksi Salama Tanzania)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment