H. BABA AKICHEKELEA DAFU MARA BAADA YA KUNASWA NA WANAFULLSHANGWE!!

Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Bongofleva H. Baba akitaka kuingia mitini wakati aliponaswa na mtambo wetu wa Satelite akijipatika kinywaji cha tunda asili aina ya Dafu huku akiwa ameshikili chupa ya wine, wakati wa tamasha la miaka 10 ya bendi ya muziki wa dansi ya African Stars lililofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam kama unavyomuona mdau wetu.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment