WAZIRI MKUU NA MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Muleba Kusini, Wilson Masilingi kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 28, 2010. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Lediana Mng'ong'o kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Al- Qaem ya Mjini Dodoma ambao walitemblea Bunge.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wnafunzi wa kidato cha nne katika shle ya Sekondari ya Al- Qaem ya Mjini Dodoma ambao walitembelea Bunge.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment