Kazi ni kazi tu muhimu ni kuichangamkia!!

Huyu anayekimbia si mwizi bali ni Muuzaji wa kuku katika kijiji cha Bande mkoani Dodoma akikimbilia wateja walio safarini kutoka mkoani humo kuelekea jijini Dar es salaam walopo kwenye basi halipo pichani hivi karibuni Picha na mdau Mwanakombop Jumaa wa Idara ya Habari Maelezo.
ukihangaika hutolala na njaa na Mungu atakusaidai. Vijana wa Gairo Dodoma wakisaka riziki kwa kuuza vitu mbalimbali kwa wasafiri wanaotoka mkoani humo na kuelekea maeneo mbalimbali ya nchi vijana hawa walinaswa hivi karibuni na Kamera ya Mwanakombo Jumaa wa Idara ya Habari Maelezo


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment