CHAMA CHA MADALALI WAMUUNGA MKONO JAKAYA KUHUSU SHERIA YA MAKAMPUNI YA SIMU!!

Mwenyekiti wa Chama Cha Madalali wa Soko la Hisa , Tanzania (TSEBA - Tanzania Stock Exchange Brokers Association) Leandri Tairo -Urasa (kulia) akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu chama chake cha Madalali wa soko la Hisa la Dar es Salaam kumuunga mkono Rais Jakaya Kikwete kuweka mbele maslahi ya taifa na kusaini Sheria ya Makampuni ya simu ya mwaka 2010. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO
Baadhi ya viongozi wa Makampuni yenye Hisa waloihudhuria na kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu nia yao ya kumuunga mkono na kumpongeza Rais Jakaya Kikwete kuidhinisha sheria ya Makampuni ya Simu 2010. (Kutoka kulia) ni Mkurugenzi Mkuu (CEO) wa kampuni ya Solomon Securities Ltd Kisali Solomon, (CEO - Care Securities Ltd) George Fumbuka, (Mwenyekiti wa TSEBA pia ni CEO wa Tanzania Securities Ltd Bw, Leandri Tairo -Urasa, (General Manager wa Rasilimali Ltd Bw. Arphaxad Masambu na (CEO wa Orbit Security Ltd ) Laurean Malauri. (kushoto Picha zote na mwanakombo Jumaa-MAELEZO.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment