Fredrick na Dorothy Wanameremeta huko A. Town!!

Mr & Mrs Fredrick Mtui wakimeremeta katika Garden ya Kibo Palace Hotel Jijini Arusha Bwana Harusi ni mfanyakazi wa Kampuni ya Tanzania Breweries Limited ya Jijini A Town
Mr & Mrs Fredrick Moses Mtui katika picha ya pamoja na Marafiki zao katika Garden ya Hotel ya Kibo Palace jijini Arusha.

Kutoka kushoto ni Bestman Bw.Joseph Kisamo na Bi.Eva wakiwa na Mr & Mrs Fredrick Moses Mtui baada ya kufungu ndoa hivi karibuni jijini Arusha.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment