MASOFISA SHERIA WAPATA MAFUNZO YA UANDISHI WA SHERIA!!

Katibu Mtendaji wa Tume Japhet Sagasii akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwatunuku vyeti Maofisa Sheria wa Tume mara baada ya kuhitimu mafunzo ya mwezi mmoja huko Morogoro
Mhadhiri wa Mzumbe Modesta Opiyo katikati akimtunuku cheti Ofisa Sheria wa Tume Andisya Nalingigwa

Maofisa Sheria, Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe pamoja na Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Japhet Sagasii wakigongeshana glasi wakati wa hafla ya kuhitimu mafunzo ya muda mfupi yaliyofanyika mkoani Morogoro
Picha zote na Munir Shemweta, Ofisa Habari wa Tume (LRCT)



You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment