Bi Shekha Said achomoka na vyombo vya Zantel!

Mkuu wa Wilaya ya Tanga mjini Dr. msengi (kulia) akimkabidhi mshindi wa kwanza wa promosheni ya Zantel chomoka na vyombo Bi. Shekha Said( katikati) zawadi ya jokofu na tv,kulia ni meneja mauzo wa zantel mkoa wa Tanga ndugu nassoro mbilikira.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment