Gavana wa China kujenga kituo Muhimbili!!

Gavana wa Jimbo la Zhangdong wa nchini China bw.Sun Liang akizungumza na waziri wa afya na ustawi wa jamii Profesa Davi Mwakyusa hayupo pichani kwenye ukumbi wa wizara mara baada ya kuwasili Tanzania.Ugeni huo upo nchini ambapo wanajitolea kujenga kituo cha kutibu magonjwa ya moyo na upasuaji katika hospitali ya taifa ya Muhimbili..
(Picha na Catherine Sungura-MOHSW)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment