Mdau wa Fullshangwe usiku huu bendi ya muziki ya Mashujaa iko jukwaani kwenye ukumbi wa Msasani Klabu ikiburudisha mashabiki wake kwa nyimbo zake kabambe ambapo burudani kali inaporomoshwa na wanamuziki mahiri kutoka katika kundi hilo linaloongozwa na mwanamuziki nguli na wa siku nyingi nchini Tanzania Elystone Angai akikung'uta gitaa la sollo huku vimwana bomba kabisa wakionyesha uwezo wao wa kuzungusha viuno jukwaani ni burudani tosha kwa mashabiki waliofika kwenye ukumbi huu kwa ajili ya kushuhudia burudani ya wanavibration Sound sasa Mashujaa misic Band.
Vimwana wa Mashujaa Band wakiwajibika jukwaani kweli muziki ni kazi na si kitu cha kufanyia mchezo kama kweli unataka kuwa kwenye gemu ya muziki huku ukiwaburudisha vyakutosha mashabiki wako.









2 comments:
hakuna kujenga
disminers
Tanzania Imekwisha-Kwa namna hii, Majanga yataendelea-Ajali, etc. hadi siku tutakapoiheshimu miili yetu...Sodoma na Ghomora
Post a Comment