Kwikwi globalpublishers


Kuna tatizo la kiufundi ambalo limetokea kwenye mtandao wa www.globalpublisherstz.com na kusababisha mtandao huo kutofunguka kwa sasa.
Tatizo hilo limetokea kwenye server inayo host mtandao huo na hivi sasa wataalamu wetu wako kazini wakilishughulikia tatizo.
Ni matarajio yetu kuwa baada ya saa chache zijazo, utakuwa hewani na habari zake za leo kama kawaida. Tunawaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Asante
Web Master
GPL
"Great achievement, involves great risks"Abdallah Mrisho
www.abdallahmrisho.blogspot.com

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment