IMF YAMPA TUZO MFANYAKAZI WAKE TAWI LA TZ!!

Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo (kulia) akifafanua jambo jana jijini Dar es salaam kwa waandishi wa habari juu makubaliano waliyofikia kati ya Tanzania na uongozi wa Shirika la Fedha Duniani (IMF). Kushoto ni Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa IMF David Robinson .Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO
Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo akimkabidhi jana jijini Dar es salaam tuzo ya Shirika la Fedha Duniani(IMF) mfanyakazi wa Shirika hilo tawi la Tanzania Mita Samat kwa kufanya kazi kwa bidii hatimaye kufanikisha mkutano wa IMF ulifanyika hapa nchini mwaka jana.Mtanzania huyo ni mtu wa kwanza kupata tuzo ya shirika hilo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment