Pia kwa wale ambao hawafahamu ujio wa Aisha Mbegu 'Madinda', wanajulishwa kuwa mwanadada huyo aliyeko kushoto katika picha amerejea jukwaani tena kwa kishindo na usiku wa kumkia leo alikuwa pale Mango Garden akifanya vitu vyake kama kawa, kama unavyomuona akiwajibika vyakutosha mdau
AISHA MADINDA AREJEA TWANGA NA KUKAMUA VILIVYO MANGO!!
Posted by
ADMIN
Pia kwa wale ambao hawafahamu ujio wa Aisha Mbegu 'Madinda', wanajulishwa kuwa mwanadada huyo aliyeko kushoto katika picha amerejea jukwaani tena kwa kishindo na usiku wa kumkia leo alikuwa pale Mango Garden akifanya vitu vyake kama kawa, kama unavyomuona akiwajibika vyakutosha mdau
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





1 comments:
Aisha tulia dada,
wewe mkali na una fans wengi.
kaza buti,
disminder.
Post a Comment