WAZIRI WA ULINZI DR. HUSSEIN MWINYI NA MBUNGE HAMAD RASHID!!

Msemaji wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Wawi(CUF) Hamadi Rashid akibadilishana mawazo na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Hussein Mwinyi(kulia) katika viwanja vya Bunge Mkutano wa 18 wa Bunge unaendelea mjini Dodoma leo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment