Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Pius Msekwa akiwahutubia vijana jana mjini Dodoma juu ya umuhimu wa kushikamana na kujenga umoja wakati wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu. Msekwa alisema hayo mara baada ya kuwasimika Makamanda wa UVCCM wa wilaya zote za Dodoma na yule wa Mkoa katika Sherehe zilizofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM Taifa mjini DodomaPIUS MSEKWA AWASIMIKA MAKAMANDA WA CCM!!
Posted by
ADMIN
Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Pius Msekwa akiwahutubia vijana jana mjini Dodoma juu ya umuhimu wa kushikamana na kujenga umoja wakati wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu. Msekwa alisema hayo mara baada ya kuwasimika Makamanda wa UVCCM wa wilaya zote za Dodoma na yule wa Mkoa katika Sherehe zilizofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM Taifa mjini DodomaYou liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment