PIUS MSEKWA AWASIMIKA MAKAMANDA WA CCM!!

Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Pius Msekwa akiwahutubia vijana jana mjini Dodoma juu ya umuhimu wa kushikamana na kujenga umoja wakati wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu. Msekwa alisema hayo mara baada ya kuwasimika Makamanda wa UVCCM wa wilaya zote za Dodoma na yule wa Mkoa katika Sherehe zilizofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM Taifa mjini Dodoma
Makamanda wa CCM wa wilaya na Mkoa wa Dodoma .kKutoka kulia ni Hezekiah Chibunje,huyo ni Kamanda wa UVCCM Mkoa wa Dodoma, anyefuata ni Zabein Mhita yeye ni Kamanda wa UVCCM Kondoa Kaskazini, Job Ndugai , Kamnda wa UVCCM Kongwa na Laurent Hoya yeye anakuwa Kamanda wa UVCCM Chamwino.


You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment