Anasema "message hii ifike kwa wachezaji na viongozi wa simba"

Mshabiki huyu wa Simba kutoka mkoa wa Mbeya katutumia ujumbe wake kwa viongozi wa timu ya Simba, wachezaji na mawakala na wanasimba kwa ujumla wake, akielezea juu ya kuwafanyia mipango ya kucheza mpira wa kulipwa wachezaji wa timu hiyo na zingine za hapa nyumbani hebu usome ujumbe wake alafu tutumie maoni yako mdau.

NDUGU WANASIMBA NI MIMI YULE YULE MDAU WENU WA SIMBA TAFADHALI MNAPOTAFUTA TIMU NJE PAMOJA NA KUTUMIA MAWAKALA PIE MUENDE WENYEWE, NCHI KAMA UINGEREZA, HISPANIA, UJERUMANI, UINGEREZA NA UFARANSA PAMOJA MUWE MNATUMIA INTRODUCTION MUENDE WENYEWE KWENYE HIZO TIMU MUWAMBIE TUMETOKA KLABU FULANI KAMA YA KWETU SIMBA NA MTACHUKULIWA TU KUTOKANA NA MIPIRA YENU NI YULE YULE RAFIKI YENU FRANCIS HENRY MULUNGU TEL 0755169421 OR 0754447495 THIS IS FOR MY MUMMY PAMOJA NA MAWAKALA PIA MJARIBU KUFANYA INTRODUCTION MTACHEZA TU KLABU KUBWA KAMA MONACO REAL MADRID MANCHESTER UNITED NA ZINGINEZO ZINAZOFAHAMIKA .GOOD LUCK NDUGU MWANDISHI BUKUKU NAOMBA MESSAGE HII UNIFIKISHIE KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI WA SIMBA .FRANCIS HENRY MULUNGU BOX 2553 MBEYA TANZANIA

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment