MATUKIO YA BUNGENI DODOMA JANA!

Mwenyekiti wa Bunge Jenista Mhagama (kushoto) akibadishana mawazo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii , Jinsia na Watoto, Magreth Sitta(katikati) na Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Mary Nagu jana mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha 4 cha mkutano wa 18 wa Bunge uanoendelea mjini Dodoma.
Waziri wa Habari , Utamaduni na Michezo Captain George Mkuchika (kulia) akibadilishana mawazo na Mbunge wa CCM jimbo la Tandahimba Juma Njwayo jana mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha 4 cha mkutano wa 18 wa Bunge uanoendelea mjini Dodoma.
Picha zote na Tiganya Vincent, Dodoma

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment