VIJANA WA KINONDONI WAJADILIANA JINSI YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI!!

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Jordan Rugimbana akizungumza wakati wa kongamano la Vijana lililoandaliwa na vijana wa Kinondoni ambapo walijadili mambo mablimbali yanayohusu Uchumi, Biashara na jinsi ya kujikwamua katika umasikini ikiwa ni pamoja na kuanzishwa kwa SACCOS ya vijana katika wilaya hiyo, kongamano hilo lilifanyika jana kwenye ukumbi wa Manipaa ya Kinondoni.
Mbungu wa Jimbo la Kinondoni Mh. Idd Azan akizungumza katika kongamano hilo lililohudhuriwa na vijana kutoka wilaya ya Kinondoni.
Wajumbe mbalimbali wa kongamano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa Wilaya ya Kinondoni jana wakati wa kuajdili mikakati mablimbal;i ya vijana kujikwamua katika lindi la umasikini ambapo pia ulizungumziwa mkakati wa kuanzisha SACCOS ya Vijana katika Wilaya ya Kinondoni.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment