RAIS JAKAYA AKITANGAZA RASMI KIFO CHA SIMBA WA VITA IKULU LEO!!

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitangaza Rasmi kifo cha Mzee Rashid Mfaume Kawawa (Simba wa Vita) mapema leo, Rais pia ametangaza siku saba za maombolezo kwa nchi nzima na bendera zitapepea nusu mlingoti kwa muda wa siku hizo saba mipingo mingine ya Serikali inaendelea juu ya utaratibu wa mazishi na wakati wowopte itatangaza utaratibu huo.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment