NYUMBANI KWA SIMBA WA VITA NI MAJONZI TU!!

Mbunge wa jimbo la Namtumbo Mkoani Ruvuma ambaye pia ni Mtoto wa Marehemu Mzee Rashid Kawawa Vita Kawawa akimfariji baba yake mdogo ambaye ni mdogo wa marehemu mzee Jafari Kawawa mara baada ya kuwasili nyumbani kwao Wazo Madale nje kidogo ya jiji la Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Familia Brigedia Jenerali Francis Mbena wa kwanza kulia aliyekaa akiongoza kikao cha familia nyumbani kwa ,arehemu mzee Rashid Kawawa huko Madale nje kidogo ya jiji la Dar es salaam leo mchana, serikali imesema itatangaza wakati wowote juu ya taratibu za mazishi ya mwili wa Marehemu na imetangaza maombolezo ya siku saba huku bendera zikipepea nusu mlingoti.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment