
Naomi Cambell akifanya vitu vyake jukwaani wakati wa onyesho maalum lililoandaliwa na Taasisi ya Kimataifa ya The White Ribbon Alliance for Safe Motherhood (WRA) nchini lililofanyika jana kwenye Hoteli ya Movenpick usiku wa kuamkia leo kama kampeni ya kuhamasisha afya kwa mama na Mtoto mara baada ya mzazi huyo kujifungua

Mtangazaji wa East Africa Televition Deogratius Kithama akifanya mahojiano na mwanamitindo Naomi Cambell usiku wa kuamia leo.

Mke wa Rais mama Salma Kikwete akiongea na Mwanamitindo wa kimataifa Naomi Cambell wakati wa onyesho la mavazi la The White Ribbon Alliance for safe Motherhood lililofanyika kwenye Hoteli ya Movenpick usiku wa kuamkia leo taasisi hiyo inajishughulisha na kampeni ya uzazi salama kwa wakima mama wajawazito katikati ni mwanamitindo wa Face Of Afrika kutoka Zimbabwe Tollar Kelle, kushoto ni Franco Tramontana na kushoto ni Mbunifu wa mavazi Mustafa Hassanali.
0 comments:
Post a Comment