MAMA SALMA KIKWETE NA MAMA THANDIWE BANDA KATIKA MKUTANO WA UTEPE MWEUPE LEO!!

Mke wa Rais mama Salma Kikwete(katikati) akiwa na Mke wa Rais wa Zambia mama Thandiwe Banda (kushoto) pamoja na mke wa Rais mstaafu wa awamu ya tatu mama Anna Mkapa wakishiriki mkutano mkuu wa mwaka wa kimataifa wa Taasisi ya Utepe Mweupe leo jijini Dar es salaam. Mkutano huo unaowashirikisha wanachama kutoka nchi zaidi ya 20 pamoja na mambo mengine unajadili uzazi salama kwa wanawake na njia bora za kupunguza vifo vya wanawake wakati wa kujifungua

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment