MWISHO WA KUSAJIRI NAMBA ZA SIMU NI DESEMBA 31, 2009!!

Waziri wa Elimu ya juu Sayansi na Teknolojia Prof. Peter Msola akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake katika mtaa wa Jamhuri wakati alipozungumzia juu ya watumiaji wa simu za mkononi kusajiri na mba zao za simu, amesema mwisho wa zoezi hilo la kusajiri namba za simu utakuwa Desemaba 31 mwaka huu kazi kwenu wanamitandao.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment