DARASA LA NNE KATIKA MITIHANI LEO NA KESHO!

Wanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Maktaba ya jijini Dar es salaam wakiondoka shuleni kurudi nyumbani mara baada ya kufanya mtihani wao leo kabla ya kuingia darasa la tano mwakani, ambapo mtihani huo umefanyika kwa wanafunzi wa darasa la nne kwa shule zote za msingi nchini na utafanyika kwa siku mbili mfululizo leo na kesho.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment