MSHIRIKI WA BIGBROTHER REVOLUTION ELIZABETH GUPTA AREJEA!!

Mshiriki wa Bigbrother Africa Revolution Elizabeth Gupta katikati akitoka katika uwanja wa ndege wa mwalimu J.K.Nyerere jana jioni mara baada ya kuwasili akitokea afrika kusini ambako alikuwa kishiriki katika shindano la Bigbrother Revolution kulia ni mama yake mazazi Bi. Hellen Gupta salaam kushoto ni Ronald Shelukindo Meneja huduma wa Multchoice Elizaberth alitolewa katika jumba hilo jumapili iliyopita baada ya kupigiwa kura na mashabiki wa shindano hilo na wenzie, matukio zaidi tutakuletea kesho.

Elizabeth akipozi kwa picha mbele ya walinzi wake baada ya kupokelewa

Elizabeth Gupta akiwa na mtoto wa ndugu yake anayeitwa Upendo Nick But aliyejumuika pamoja na ndugu na mashabiki katika mapokezi hayo
Jamani Elizaberth Full Mapozi kwenye picha.
Huu ndiyousafiri uliomchukua Elizaberth

Mdau Jackson Kalikumtima alikuwepo pia na watoto wake kama unavyowaona

Mamaa Ennet na mtoto wake Upendo walikuwepo kumpokea ndugu yao Elizabeth

Mwinyi wa Machozi Band na Aminata wakipozi kwa picha nao walikuwepo katika uwanja wa ndege wa mwalimu Nyerere kumpokea Lady Jaydee lakini pia wakajumuika amoja na mashabiki wengine katika kumpokea Elizabeth Gupta.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment