Mshiriki wa Bigbrother Africa Revolution Elizabeth Gupta katikati akitoka katika uwanja wa ndege wa mwalimu J.K.Nyerere jana jioni mara baada ya kuwasili akitokea afrika kusini ambako alikuwa kishiriki katika shindano la Bigbrother Revolution kulia ni mama yake mazazi Bi. Hellen Gupta salaam kushoto ni Ronald Shelukindo Meneja huduma wa Multchoice Elizaberth alitolewa katika jumba hilo jumapili iliyopita baada ya kupigiwa kura na mashabiki wa shindano hilo na wenzie, matukio zaidi tutakuletea kesho.
Elizabeth akipozi kwa picha mbele ya walinzi wake baada ya kupokelewa





Mwinyi wa Machozi Band na Aminata wakipozi kwa picha nao walikuwepo katika uwanja wa ndege wa mwalimu Nyerere kumpokea Lady Jaydee lakini pia wakajumuika amoja na mashabiki wengine katika kumpokea Elizabeth Gupta.




0 comments:
Post a Comment