MDAU GEORGE NJOGOPA WA CLOUDS AVUNA STASHAHADA YAKE BAADA YA KULA NONDOOZ!!

Mdau George Njogopa mtangazji wa kipindi cha jicho letu cha Cha Redio Clouds Fm na mwakilishi wa Voice of America VOA nchini naye amehitimu Stashahada yake ya kwanza katika masuala ya Jinsia katika Maendeleo baada ya kula Nondooz katika chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu J.K.Nyerere Kigamboni zamani (Kivukoni) kwa miaka mitatu, Hongera sana Bw. George Njogopa ni kazi ngumu lakini ndo umeshapiga hatua tena kamada.
Sio dhambi jamani hawa walijisikia kuchoka kutokana na mahafali hayo kucheleweshwa kuanza kwani awali yalikuwa yaanze saa sita lakini yalianza saa nane mchana.
Sasatel mzigoni! wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Sasatel kitengo cha mauzi wakitoa huduma ya kuuza simu wakati wa mahafali ya nne ya chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu J.K.Nyerere zamani (Kivukoni)Kigamboni leo kutoka kulia ni Serua, Baraka na Hellennwakiwahudumia wateja wao.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment