Mdau George Njogopa mtangazji wa kipindi cha jicho letu cha Cha Redio Clouds Fm na mwakilishi wa Voice of America VOA nchini naye amehitimu Stashahada yake ya kwanza katika masuala ya Jinsia katika Maendeleo baada ya kula Nondooz katika chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu J.K.Nyerere Kigamboni zamani (Kivukoni) kwa miaka mitatu, Hongera sana Bw. George Njogopa ni kazi ngumu lakini ndo umeshapiga hatua tena kamada.MDAU GEORGE NJOGOPA WA CLOUDS AVUNA STASHAHADA YAKE BAADA YA KULA NONDOOZ!!
Posted by
ADMIN
Mdau George Njogopa mtangazji wa kipindi cha jicho letu cha Cha Redio Clouds Fm na mwakilishi wa Voice of America VOA nchini naye amehitimu Stashahada yake ya kwanza katika masuala ya Jinsia katika Maendeleo baada ya kula Nondooz katika chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu J.K.Nyerere Kigamboni zamani (Kivukoni) kwa miaka mitatu, Hongera sana Bw. George Njogopa ni kazi ngumu lakini ndo umeshapiga hatua tena kamada.You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







0 comments:
Post a Comment