Rais Kikwete akagua uharibifu wa nyumba Msoga!!

Rais Kikwete akukagua baadhi ya nyumba zilizoharibiwa vibaya na mvua kubwa iliyombatana na upepo mkali katika kijiji cha Msoga wilayani Bagamoyo hivi karibuni wakati alipotembelea kijiji hicho leo asubuhi.Jumla ya nyumba51 ziliharibiwa vibaya na mvua hiyo na kusababisha watu zaidi ya 190 kukosa makazi na kuhifadhiwa na majirani(picha na Freddy Maro)

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment