Mabingwa wa Malta Street Dance International 2009, kundi kutoka nchini Philipines wakiwa katika picha ya pamoja na kombe lao na mfano wa hundi wa dola 25,000 walizokabidhiwa jana na waandaaji wa Mashindano hayo kampuni ya Bia Afrika Mashariki (EABL) mjini Nairobi jana.
Philipines Mabingwa wa Malta Guinness Street Dance International 2009,
Posted by
ADMIN
You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment