VODACOM MISS KIGAMBONI 2009 APATIKANA!!

Vodacom Miss Kigamboni 2009 Karne Lukule

Mshindi wa Vodacom Miss Kigamboni 2009 Karne Lukule (kati) akiwa na washindi wenzake Irene Chentopher (kushoto) ambaye alishika nafasi ya pili na Samirah Kafunda aliyeshika namba Tatu shindano hilo liliandaliwa na Kampuni ya Bongo5 Entertiment. na lilifanyika jana kwenye ukumbi wa Meese Resort Kigamboni
Majaji wakiwajibika kumtafuta mshindi wakiongozwa na Ben Kisaka jaji mkuu (kulia) ,Miss kigamboni 2008 Lona Swai (kushoto) na Joketi Mwegelo ambaye alikuwa Miss Temeke 2007, na alishika nafasi za juu Miss Tanzania mwaka 2007.

Warembo walioshiriki shindano la kumsaka Vodacom Miss kigamboni lililofanyika jana wakionyesha shoo ya ufunguzi wakati wa shindano hilo katika ukumbi wa Meese Resort Kigamboni .

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment