MELI NYINGINE YA ABIRIA YAKWAMA KARIBU NA BANDARI YA MALINDI!!

Inasemekana kuwa Boti zilizokuwa zikifanya kazi ya uokoaji zimesitisha kwa muda kazi hiyo ili kwenda kuivuta meli nyingine ya abiria, habari zinasema meli hiyo imepata hitirafu karibu kabisa na Gati ya bandari ya Malindi, Meli hiyo ni ya abiria lakini haikufahamika mara moja inaitwaje inadawiwa ilikuwa ikitokea Dar as alaam kwenda Zanzibar haikufahamika mara moja ni tatizo gani limeitokea na lina ukubwa wa kiasi gani, tukio kama hili litakuwa linawatia hofu abiria waliomo katika meli hiyo ukizingatia kwamba bado hawajasahau tukio la kuzama kwa meli ya Fatih siku mbili zilizopita ambayo mpaka sasa bado waokoaji wanaendelea kutafuta kama kuna ya watu miili watu zaidi na kujaribu kuiibua tena meli hiyo ambapo mpaka sasa ni maiti sita zilizopatikana na watu 27 wameokolewa wakiwa hai.

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment