RODRICK NA SALAMA WAMEREMETA, KUFANYA SHEREHE YA KUKATA NA SHOKA KARIMJEE USIKU HUU!!

Rodrick akiwa na maiwaifu wake mara maada ya kufunga ndoa yao leo jioni hii harusi hiyo inafuatiwa na bonge la sherehe itakayofanyika kwenye ukumbi wa karimjee jijini usiku huu FULLSHANGWE inawatakia maisha mema ya ndoa yao takatifu mungu awabariki sana.
Salama akiwa na matroni wake katika pozi

Rodrick na Salama wakiwa na wazazi harusi hiyo inafuatiwa na bonge la sherehe katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar.

Rodrick na Salama wakiwa na wazazi na ndugu na jamaa zao mara baada ya kufunga ndoa .





You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment