MEWATA NA JERRY MURRO WATUNUKIWA TUZO YA LEADERSHIP EXCELLENCY AWARD!!

Mkurugenzi wa The Leadership Forum Hebron Mwakagenda akizungumza na wanahabari wakati alipokuwa akitangaza shirika lake kutoa tuzo maalum ya Leadership Excellency Awrd kwa MEWATA na Mwandishi Jerri Muro ambao wametunukiwa Tuzo hiyo kutokana na uwajibikaji wao kwa jamii katika kupambana na saratani ya akina mama kwa upande wa MEWATA na mapambano dhidi ya Rushwa kwa upande wa Jerry Muro kupitia kipindi chake maalum kiitwacho Ripoti Maalum hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo kushoto ni Seif Nakuchima meneja mipango wa The Leadership Forum.
Mkurugenzi wa shirika la The Leadership Forum Hebron Mwakagenda aliyesimama kulia akiwa katika picha ya pamoja na wadau waliopewa tuzo maalum ya Leadership Excellency Award na shirika hilo kwa uwajibikaji katika jamii ambapo mwaka huu wamepewa MEWATA na mwandishi wa habari kutoka ITV wanaofuatia ni Mary Charles mweka hazina wa MEWATA Jerri Muro wa ITV Serafina Mtuwa mjumbe wa kamati kuu ya MEWATA na Seif Nakuchina meneja wa mipango The Leadership Forum .

You liked this post? Subscribe via RSS feed and get daily updates.

0 comments:

Post a Comment